Wanaopaswa kuwajibishwa ni mamlaka zinazotoa vibali vya ujenzi osha nk hao wapo tu asilimia nyingi hawafanyi kazi zao ipasavyo ukitaka kujua hayo ingia kwenye site yoyote uone uozo unaofanyika Kariakoo ndio zaidi watu wanakufa sana kimya kimya bila kujua haki zao na
Jibu lako halishawishi kwasababu halina uhalisia zaidi ya uji"nga ulioandika hausiani chochote wala kusaidia kwenye mada, hujambo viherehere km ww mnavyofikiri ni rahisi tu kumshawishi mtu ukidhani kila mtu ni mwepesi, wafundishe wenzako kwanza wapo kibao wanafuga nguruwe na kula
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.