Recent content by uyui kwetu

  1. uyui kwetu

    Tuliozaa nje ya ndoa tukutane hapa, tujadili changamoto tunazokutana nazo

    Huko ndani nafasi yangu haipo nina mmoja tu
  2. uyui kwetu

    Kwenye ajali ya Kariakoo, mmiliki wa jengo awajibishwe ili iwe mfano

    Wanaopaswa kuwajibishwa ni mamlaka zinazotoa vibali vya ujenzi osha nk hao wapo tu asilimia nyingi hawafanyi kazi zao ipasavyo ukitaka kujua hayo ingia kwenye site yoyote uone uozo unaofanyika Kariakoo ndio zaidi watu wanakufa sana kimya kimya bila kujua haki zao na
  3. uyui kwetu

    Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

    Jibu lako halishawishi kwasababu halina uhalisia zaidi ya uji"nga ulioandika hausiani chochote wala kusaidia kwenye mada, hujambo viherehere km ww mnavyofikiri ni rahisi tu kumshawishi mtu ukidhani kila mtu ni mwepesi, wafundishe wenzako kwanza wapo kibao wanafuga nguruwe na kula
  4. uyui kwetu

    Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

    Toa faida za kuwa Muislam km ulivyotoa ushauri kuhusu matumizi ya pesa, sio kutoka nje ya mada husika
  5. uyui kwetu

    Kwa nini Mtoto wa nje hapaswi Kurithi Mali za Baba yake?

    Kuna sheria zao na zangu tusiingiliane
  6. uyui kwetu

    Maandamano ya Kwanza ya Waislam Dhidi ya Serikali ya Tanzania 1993

    Sasa haya hayakuwa maandamano kwa ajili ya taifa bali kwa ajili ya waislam tu
  7. uyui kwetu

    Kumvuta mpenzi kwa kutumia mshumaa

    Kazi kazi doctor
  8. uyui kwetu

    Ujumbe wa Ayatollah Khomen kwa Israel Hawezi Mshinda vita Hezbullah

    Endelea kuota hivyo hivyo. Kinchi kidogo kimezungukwa na maadui zake mbona wanashindwa, unafikiri hawapendi kumtoa Israel pale?
Back
Top Bottom