Brother hao ni matapeli wanachukua gesi halafu wanakuuzia kwa bei ya juu wapate chochote kitu mfano gesi nzima kg 6 ni 23,000 kwao utalipia 50k. Ndondondo ni gharama hakuna nafuu hapo
Tanzania [emoji1241] kila kitu kwetu ni hasara hakuna kitu tanachofaidika nacho gesi ya songosongo imeuzwa kwa watu zile ahadi za Kikwete umeme utakuwa historia tumezisahau kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.