Dah kweli awamu ya kufeli ni ya kufeli kwenye kila jambo. Tuliokuwa luningani tulijisikia vibaya sana sasa sijui waliokuwa pale live uwanjani walikuwa na hali gani.
Ndugu wanajamvi salam kwenu nyote. Jamani nina kijana wangu wa kike amemaliza four mwaka jana na kupata div 4.
Katika kihangaika kutafuta pahala pa kumpeka kuna jamaa yangu kanielekeza hapo Nyerere memorial.
Kweli nimeperuzi nikaona anazo sifa za kupata cource pale na nimependa aanze na basic...
Ndugu wanajamvi,
Nimehamasika sana na ushauri uliotolewa hivi karibuni na mh. Waziri mkuu Majaliwa kwamba sasa ni zamu ya watanzania kutajirika kupitia zao la alizeti.
Naamini huu ushauri umekuja baada ya hali ya bei ya mafuta inchini kupanda sana kwa kipindi kifupi.
Mimi ninaishi Arusha...
Wataalam wa bongo kibongobongo....hivi tuna wataalamu wakuweza kuwaweka jukwaa moja na wataalamu let say hata wa hapo kenya kweli...yaani ukaweka hoja mezani halafu uweke mpambano wa uchambuzi kabisa yaaani. Tuache kuzinguana bana.
Rais akiwa legelege kila kitu kinalegea. Hili la muungano ni mwanzo tu udini unafuata sasa hivi. Alipaswa kwenda na speed ileile ya mwendazake yeye anataka apendwe na wabongo. Yaani ataishi hapo magogoni kwa taabu sana mwisho wake ni kungatuka kabla ya wakati na atuingize kwenye maugomvi ya...
Shida huyu rais wa dharura nae hajielewi anataka nini kwenye masuala mazima ya kuendesha inchi. Anadai anataka kusimamia kila kitu kwa haki. Sasa hao ndugu zake wanataka haki ya kuuvunja muungano anatakiwa kutoa msimamo mapema asifikiri urais ni kuteua mabalozi na kuuza mahind kenya tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.