Ajira kugawanywa bara na visiwani, nafikiri kuna tatizo

Sekta ya elimu na Afya sio suala la Muungano ,inakuaje ajira zigawanwe
na bado! ndo kwanza maji yamezidi unga badala ya ugali inabidi tupike uji kwa maana hiyo mboga tunarudisha kwa jokofu na tukumbuke matumizi ya sukari yatatakiwa na tukitumia vibaya asubuhi kesho hatuna chai! je twaweza kusitirika kwa uji wa chumvi mchana huu ili sukari ibaka kwa kesho asubuhi vinginevyo tukubali watoto waende na njaa asubuhi wajibebe na visheti na mikono yao itumike kukinga maji bombani ili wanywe?
 
Kwa kukuongezea tu JKT kulikua na utaratibu wa kumaliza wazenj wote ndo wabara mfikiriwe.
 
Unafikiri kuitongoza Zanzibar ikubali muungano ilikuja kirahisi?

Kama unaona Zanzibar inakupunja basi wape nchi yao uone kama hawajarudisha hayo mambo waliyosacrifice kwa ajili ya muungano huu na hivyo kujitengenezea ajira za kutosha kwenye hayo mambo wao wenyewe
Ninyi ndy mnaofanya wazanzibar wajione Bora zaidi ya watanganyika.
Waambie ccm wanaowang'ang'ania
 
Unafikiri kuitongoza Zanzibar ikubali muungano ilikuja kirahisi?

Kama unaona Zanzibar inakupunja basi wape nchi yao uone kama hawajarudisha hayo mambo waliyosacrifice kwa ajili ya muungano huu na hivyo kujitengenezea ajira za kutosha kwenye hayo mambo wao wenyewe
Nakuunga mkono,muende kwenu mkapate ajira bwerere maana sisi tunawanyonya tu au siyo,Unganeni mvunje muungano huu ili Na mama aachie ngazi ya urais,sa sijui Rais wa ZNZ atakua mwinyi au mama ama ndo tusubiri amalize muda wake ndo tuanzishe vanga?
 
Ajira kugawanywa bara na visiwani nafikiri sana kuwa ingefaa ajira zipatikane kupitia taratibu za ushindani, bila kujali mtu anatoka wapi, iwe kwa taasisi za umma, serikali ya JMT, iwe kwa ajira kwenye vyombo vya usalama.

Ni nini kimepelekea kubadili mfumo wa ajira? Kama watu wa upande mmoja utakosa sifa kwa watu wa upande huo, watalazimisha kuajirawa tu? Hali hiyo naona kuzidi kutengeneza 'gap' la muungano!
Tutona mengi
 
Rais akiwa legelege kila kitu kinalegea. Hili la muungano ni mwanzo tu udini unafuata sasa hivi. Alipaswa kwenda na speed ileile ya mwendazake yeye anataka apendwe na wabongo. Yaani ataishi hapo magogoni kwa taabu sana mwisho wake ni kungatuka kabla ya wakati na atuingize kwenye maugomvi ya madaraka tena. Kupata madaraka ni jambo moja kuyalinda na kuendelea nayo ni jambo lingine JPM hakuwa mjinga mpaka akaonekan muuwaji lakini yote ni kuonyesha ni jinsi gani madaraka yalivyo magumu kuyalinda.
 
Nakuunga mkono,muende kwenu mkapate ajira bwerere maana sisi tunawanyonya tu au siyo,Unganeni mvunje muungano huu ili Na mama aachie ngazi ya urais,sa sijui Rais wa ZNZ atakua mwinyi au mama ama ndo tusubiri amalize muda wake ndo tuanzishe vanga?

Mwinyi atarudi kwao Bara
 
Hakuna kosa kubwa ambalo tutalijutia watu wa bara kwa hii ajali ya kuruhusu Mzenji kuwa Rais wa JMT kwa wakati huu wa Sasa.

Tumeuvaa mkenge tuvumilie tu.
 
Hakuna kosa kubwa ambalo tutalijutia watu wa bara kwa hii ajali ya kuruhusu Mzenji kuwa Rais wa JMT kwa wakati huu wa Sasa.

Tumeuvaa mkenge tuvumilie tu.
Mkuu

Hii system ilikuwepo kabla ya mama, toka enzi za Nyerere Hawa jamaa kupendelewa ktk ajira na umiliki wa ardhi pande zote mbili za muungano.
Sema tu hawa wajamaa wanapenda kudeka deka sana
 
Ajira kugawanywa bara na visiwani nafikiri sana kuwa ingefaa ajira zipatikane kupitia taratibu za ushindani, bila kujali mtu anatoka wapi, iwe kwa taasisi za umma, serikali ya JMT, iwe kwa ajira kwenye vyombo vya usalama.

Ni nini kimepelekea kubadili mfumo wa ajira? Kama watu wa upande mmoja utakosa sifa kwa watu wa upande huo, watalazimisha kuajirawa tu? Hali hiyo naona kuzidi kutengeneza 'gap' la muungano!
Natumaini wamejali ratio ya idadi ya watu
 
Hapa ndipo panatengeneza madai ama ya serikali tatu au moja.

Wazanzibar Wanahaki ya ajira au teuzi pande zote mbili za muungano lakini Watanzania bars ambao kiuhalisia ni watanganyika hawana haki na teuzi au ajira Zanzibar.

CCM inatukandamiza watanganyika kwa maslahi ya chama chao
Wazanzibari walipokuwa wakidai serikali tatu mlikuwa wapi?

Sio sawa kwa asiekuwa Mzanzibari kufanya kazi kwenye SMZ ila ni sawa kwa Mzanzibari kufanya kazi SMT. kwa sababu hio ni serikali ya Muungano na SMZ sio serikali ya Muungano.

Haya charukeni nyie saivi kudai mamlaka kamili, sie tukisema tunaitwa magaidi.
 
Nakuunga mkono,muende kwenu mkapate ajira bwerere maana sisi tunawanyonya tu au siyo,Unganeni mvunje muungano huu ili Na mama aachie ngazi ya urais,sa sijui Rais wa ZNZ atakua mwinyi au mama ama ndo tusubiri amalize muda wake ndo tuanzishe vanga?
Muanzishe vanga wewe na nani?

Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu
 
Rais akiwa legelege kila kitu kinalegea. Hili la muungano ni mwanzo tu udini unafuata sasa hivi. Alipaswa kwenda na speed ileile ya mwendazake yeye anataka apendwe na wabongo. Yaani ataishi hapo magogoni kwa taabu sana mwisho wake ni kungatuka kabla ya wakati na atuingize kwenye maugomvi ya madaraka tena. Kupata madaraka ni jambo moja kuyalinda na kuendelea nayo ni jambo lingine JPM hakuwa mjinga mpaka akaonekan muuwaji lakini yote ni kuonyesha ni jinsi gani madaraka yalivyo magumu kuyalinda.
Muuaji mkubwa wewe. Unapata wapi nguvu za kutetea ujinga??

Yaani wabara mmeokolewa kutoka kwenye lindi la mateso na shida mnapelekwa sehemu ya furaha na raha halafu mnamidomo mirefu kama ngurunyembe.

Bila Ustaarabu wa Kizanzibari mngeihama nyote Tanzania mmoja baada ya mwengine kama alivyofanya Lissu na Lema.

Muwe na shukurani
 
Back
Top Bottom