Recent content by Uttarra

  1. U

    Hizi plate number zisizoeleweka zinazidi. Je, trafiki mmeruhusu!?

    Unadhani wote wanaoweka hizo plate number unazoelezea hawajasajiliwa? Ninavyojua kuna utaratibu maalum wa kuzisajili hizo namba na pengine malipo yake ni ya juu zaidi ya malipo ya plate number za kawaida.
  2. U

    Fundi Utembo..Fundi Rangi.....Fundi wa Aluminium za madirisha na Milango

    Sijui kwa vile hajajibu hadi leo.
  3. U

    Huyu ni raia wa Arusha

    Ndio Sabaya huyu?
  4. U

    Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

    Mwanamke mzinifu ni wa mwanaume mzinifu. Na mwanaume mzinifu ni wa mwanamke mzinifu. Case closed. Inabidi wote m confess msameheane au achaneni kwa amani ya bwana.
  5. U

    Kwanini Marais wastaafu? Ni upendeleo?

    What are you talking about kiddo? Hiyo benzi na nyumba mbili zinamaliza hazina ya taifa? Hiyo sio bajeti ya kampuni kiddo.
  6. U

    Kwanini Marais wastaafu? Ni upendeleo?

    Kama hajajenga kwa nini apata lawama, kwa nini haya hayakusemwa kabla? Pia mleta hoja hajaleta recommendation(s) nini kifanyike kama kweli nia yake ni kujenga na sio kulaumu.
  7. U

    Rais aunde tume mbili kuchunguza shutuma za watu kudhulumiwa mali zao awamu iliyopita pamoja na kifo cha Hayati Dkt. Magufuli

    We learn from mistakes, sheria hutungwa kutokana na udhaifu au matukio. Huoni kuchimbua haya makaburi kunaweza kuwa na faida in future, haujalishi matikeo yatasema nini, lkn lazima kutakua na kujifinza kama hizo tume zitakua huru na zitatenda haki kwa kufanya uchuncguzi wa kina. Kutochimbua...
  8. U

    Kwanini Marais wastaafu? Ni upendeleo?

    Ndugu hujafanya upembuzi yakinifu au umeongozwa na hisia kutoa hitimisho. Marais wastaafu tulionao ni wawili tu. Itakuaje Rais awasahau wananchi 50M+ na kuwakumbuka hao 2 tu? Your argument does not make sense. 'Benzi moja, nyumba 2' marais wawili iwe mjadala kweli. Ungeongelea suala la safari...
  9. U

    Swali Gumu: Kwanini kila ninayemsaidia huwa hana shukrani?

    Yote sawa tu bro., kudeal na simple minded ni kupoteza muda na productivity.
  10. U

    Ushauri: Ili kulinda heshima yako Mataragio usikubali huo uteuzi wako, kataa waachie cheo chao

    Wanaosema Mataragio asuse si wazalendo, hawana tofauti na hao wanaomtilia majungu. Wanataka Mataragio asuse ili wao wale.
  11. U

    Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

    SSH, soma na soma na urudie tena kusoma ma file na hizo CV. Slow down kumwaga wino kutia sign. Jipe.muda epuka kuchukua maamuzi ya haraka. Sikiliza sana. Ila pata muda wa kureflect na kuchambua unayoambiwa. Believe in vetting and due process.
  12. U

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    Tuki assume waliochangia uzi huu ni wa Tamzania. Ni watu 2400 kati 50,000,00+ waliochangia uzi huu. Ni asilimia ndogo.sana waliopata mafasi ya kuchamgia hivyo si vema kufunga uzi, uachwe kama kuna wachangiaji zaidi waendelee kuchangia.
  13. U

    Serikali inavyo piga marufuku shamrashamra za Pasaka, hawakuona kelele mule Bungeni?

    Kina nani hao wanasema, za kuambiwa changanya na zako!
Back
Top Bottom