kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,078
- 10,385
Mhhhhh
Ah kudadadeq walahi,mashada tupu hakuna makushabu hapo.
Kitu maini aisee. Kama mtu hajawahi kupiga hizi mambo kapunjwa sana kwenye haya maisha.Ah kudadadeq walahi,mashada tupu hakuna makushabu hapo.
Ah kudadadeq walahi,mashada tupu hakuna makushabu hapo.
Jf ina wavuta ganja wengi sanaKitu maini aisee. Kama mtu hajawahi kupiga hizi mambo kapunjwa sana kwenye haya maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nina mpango nianze, ila sijui nitaanza lini..!Jf ina wavuta ganja wengi sana
Lugha gani hii umeandika?Ah kudadadeq walahi,mashada tupu hakuna makushabu hapo.
Anzia hapohapoHata mimi nina mpango nianze, ila sijui nitaanza lini..!
😂😂😂😂
Wewe huvuti Mkuu?Jf ina wavuta ganja wengi sana
Wewe huvuti Mkuu?
Hilo ni jani la Mungu kwa waja wake.
We jiulize mtu wa kwanza kuligundua na matumizi yake alijuaje. Hapo ndo ujue Mungu yupo.
Sent using Jamii Forums mobile app
huu mmea wa mitume na manabii unaleta utulivu wa rohoKitu maini aisee. Kama mtu hajawahi kupiga hizi mambo kapunjwa sana kwenye haya maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ukionja utawaheshimu sana hao "wavuta ganja"Jf ina wavuta ganja wengi sana
Wavuta ganja OG wako real sanaSiku ukionja utawaheshimu sana hao "wavuta ganja"
Jamaa anakula weed