Bwana Elevenn/de Gunner/Kanye west and so ......
Last time ulikuja baada ya kipigwa ban,ulituonyesha kitabu cha Think big,nikajua sasa mwenetu sasa umekuwa,na ukatoa speech nzur sana
Kwamba umebadilika na umekuwa mtu mpya kabisa,no drama za kijinga na no upuuzi
Mbona sioni ulichotuahidi hapo...