Recent content by Uta Uta

  1. Uta Uta

    Picha, niambie Shule gani Tanzania ina mazingira Bora kuzidi haya?

    Duh kumbe na wewe ulikuwa unaishi kwenye bweni hili la wachafu
  2. Uta Uta

    Je, wajua kwamba mechi ya Al ahly na Wydad ilikua ni saa 2 usiku?

    Kuna vitu viwili sijaelewa, kwa kalenda ya dunia Moroco saa hizi ni majira ya joto pili Moroco haipo karibu na North Pole kwani ipo takribani longitudo 36 North. Na North Pole ni 90. Hebu fafanua vizuri hapo
  3. Uta Uta

    CAF Champion league Second Leg Final: Wydad Ac 1-1 Al Ahly Sc |Mohammed V

    Kwani vipi ulibet mini? Mbona una hasira sana
  4. Uta Uta

    CAF Champion league Second Leg Final: Wydad Ac 1-1 Al Ahly Sc |Mohammed V

    Naona Moshi umewaghalimu wenyewe, wanalalamika hawaoni wajinga kweli
  5. Uta Uta

    Huwa unakumbuka nini ukisikia au kusikiliza nyimbo za Judy Boucher

    Samahani, Kuna somebody anaitwa Judea Judith Boucher ndio alifariki mwaka jana. Poleni kwa usumbufu wapenzi wa wake. Wimbo wa you caught my eyez na that night we met zinanikosha sana
  6. Uta Uta

    Huwa unakumbuka nini ukisikia au kusikiliza nyimbo za Judy Boucher

    Boucher amezaliwa 65 na alishafariki mwaka jana
  7. Uta Uta

    Rais Museveni asaini muswada wa kupinga mapenzi ya jinsia moja

    Wanafungwa gereza moja wore wawili?
  8. Uta Uta

    Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu, acheni kula chips

    Unafikiri wenye vitambi tuna nongwa na wake zetu Basi. We tuchapie tu kiroho safi, Ila siku tukikumata tunawatafuta wafanya mazoezi wenzako wakuchape na wewe huku wakikupaka kilanishi. Niachaje chips kwa mfano
  9. Uta Uta

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    never gonna let u go by Feith Evans all my life by changing faces brown eyes by Destiny Child Don let go by Envogue imagination - Tamia what if - baby face jolly by Dolly Parton incomplete by sisqo
  10. Uta Uta

    TANZIA Mwanamuziki Hussein Jumbe afariki dunia

    Amekufa kweli? Maana amezushiwa Mara kadhaa
  11. Uta Uta

    Simba msimu ujao tujifelishe tushiriki Shirikisho, tusishiriki tena Champions League, ama nusu fainali kwetu itabaki kuwa ndoto

    Leo umechangia Kama mwanamichezo halisi. Sometimes inabidi tuweke ushabiki pembeni tuongee uhalisia
  12. Uta Uta

    Wasanii wa Bongo na ulimbukeni wa ishara za mikono kwenye video

    Kwa hiyo linaachiwa sign kumbe la Kwampalange ya Marekani. Duh dunia Ina mambo aisee
Back
Top Bottom