Leo nawataka wauza/wavaa tisheti kali tu

Leo nawataka wauza/wavaa tisheti kali tu

Sikupi chimbo, nakupa maono! Nakupa code! Nakupa madini

Kama hutaki bas mzee usinichoshe, tusichoshane..

Kuna watu wanavaq brand kali sana wanapenda kung'aa. Leo natak nizingumzie code ya tisheti kali zinaitwa "Unkut" original, sio grade 2 za elf 9. Hizi unkut zimesimama, grade 1 mzee

Unalijua jengo linaitwa Miami? Mchikichi na Congo? Hapo ulizia mwamba mmoja anaitwa Mkombozi stoo. Chukua kazi kali, vaa katambe

Kalaga bahoView attachment 3131954View attachment 3131955View attachment 3131956View attachment 3131957View attachment 3131959View attachment 3131960
[emoji91]
 
Kuna mwana jf alikuwa anataka cargo pants
IMG-20241022-WA0298.jpg
IMG-20241022-WA0239.jpg
 
Unkut ni brand moja kali sana. Inatoa tisheti za kueleweka sana.. kama converse tu! Hao jamaa ni wakali sana kwenye tisheti za quality nzur.. chimboni hizi ni 17. Ukiivaa tisheti imesimama vibaya yani..
Huyo jamaa hanaga kazi mbovu...
Napafahamu hapo..

Japo Raha Tower kule ground sasa hivi wapo wengi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom