dah hivi hilo la kuandaa nauli ni kweli nauli wanajitegemea?nakumbuka enzi zangu tulipelekwa kwa gharama zao ni tranka tu ndio tulibeba,Leo hadi shuka munabeba home?dah!pumzika kamanda wangu lut kanal mmari,sijui yupo wapi meja mzee,adjutant Lut Tesha, RSM erick mundeba, dah salaam nyingi kwa...
mi pia nakumbuka mambo mengi mengi ila kubwa zaidi kipindi hikohiko nipo primary ndipo nilipo mpenda mwanamke ambae hadi Leo anaishi moyoni mwangu(ifaamike wazi si kwamba huyo mwanamke ni mke wangu,ila ndiye hasa moyo wangu upo kwake,japo nasikitika kuwa huenda hata nikafa bila kumuona tens...
na hata ukiwa na msichana akiwa mweupe utasema "nimepata mtoto mzurii,kitu cheupeeeee", sasa fikiria huyo msichana akiwa mweusi utasemaje?huu weusi sijui umekuwaje walahi.
kheri tukubali kushindwa,tutatafuta mitaji tufuge bata hakuna namna,wameweka mlolongo mguuumu shida nini?hapo kwa maana hizo nikuwa hizo kazi ni special kwa watoto wa matajiri si zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.