Mkuu girlfrnd wako anaelekea ni selfish sana..
Na hakuhurumii hata kidogo, sababu yaweza ikawa;-
1. Malezi, pengne kwao amekua akiamin mwanaume ndio kila kitu (atm, bank, n.k).
2. Inawezekana pia ni yupo kwako coz yeye hajiwezi, amejishikiza kwako mwenye uwezo.
3. Ni dalili za uchoyo...
Ni mwezi sasa unakaribia kufika,
wahitimu wa Mwaka huu wapatao 5,000. Hawajarudishia hela yao ya mahafali 20,000/= kama walivyoahidiwa pindi tu wakirudisha joho...
Sasa 20,000/= tshs * 5000 = 100,000,000 tshs...
Thz is so serious wanajamii
Wadau, nauza kuku (chotara-weusi) wa mayai (wanapandwa na majogoo). Pamoja na majogoo wake..
Kuanzia kuku 30
na kuendelea..
Matetea sh 10,000.
Majogoo- 15,000..
Wapo katika hali nzuri..
Mnaweza nielekeza ni maeneo gani naweza kupata soko kwa kuwauza kwa jumla?, wapo kuku 250 hv..
@shine, Mwali, Ashadii,.. Ni kweli kuwa mwanaume anaweza kusex na mwanamke hata kama mwanaume huyo hajampenda huyo mwanamke,..
Labda kwasababu amemtaman tu, BUT, pia hatuwezi kumpenda mtu bila kumtamani kwanza,
hapo ndipo hatuelewanagi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.