Nje ya mada, kuna mtu alinihadithia kuhusu dini ya jadi, na kiongozi (mtume) wao anaitwa fumbakasa. Na ibada zao wanafanyia kigamboni, mwny kujua naomba anijuze zyd
Yeye ndiye atakayewapokea na watalazimika kufuata zote za nchi kutoka kwake, wao ndiyo wanaomtihumu, lkn siyo sisi.
Sheria zetu zipo wazi, mwenye tuhuma 1-2-3, haruhisiwi ktk 1-2-3, makonda mpk hapo alipo, ni kwa7bu hana 1-2-3. Wazungu usiwafanye kama miungu, pamoja na machaaaache mazuri, lkn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.