Recent content by USICHELEWE

  1. U

    Juma Nature: Tunalipa michango ya Ulinzi Shirikishi, kwa nini bado tunaibiwa Mitaani

    Huko mtaani kwao kuko hivi, katika vijana kumi, 7 ni wezi. Kwa population hiyo unategemea wz utakoma?
  2. U

    Itafute elimu ya siri - hidden knowledge

    Nje ya mada, kuna mtu alinihadithia kuhusu dini ya jadi, na kiongozi (mtume) wao anaitwa fumbakasa. Na ibada zao wanafanyia kigamboni, mwny kujua naomba anijuze zyd
  3. U

    Hivi viongozi kutoka US, UK nk. wakitembelea Arusha watapokewa na RC Makonda?

    Yeye ndiye atakayewapokea na watalazimika kufuata zote za nchi kutoka kwake, wao ndiyo wanaomtihumu, lkn siyo sisi. Sheria zetu zipo wazi, mwenye tuhuma 1-2-3, haruhisiwi ktk 1-2-3, makonda mpk hapo alipo, ni kwa7bu hana 1-2-3. Wazungu usiwafanye kama miungu, pamoja na machaaaache mazuri, lkn...
  4. U

    Mtu akifa anaenda wapi?

    Wapiramu ndiyo wakina nani?
  5. U

    Jerry Silaa: Alex Msama ni tapeli namba 3 wa Viwanja, ajisalimishe

    Msichokifahamu ni kwamba waziri SLAA ni MAGUFULI namba mbili, anapita kwenye njia ambayo viongozi wengi hawawezi kupita
  6. U

    Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

    Twiga social hall, Tegeta wazo. Zero bar, tgt kibaoni. Waungwana bar, tgt nyuki.
Back
Top Bottom