Mnamjadili mtu wakati yake yanaenda nyie mnabaki na vikao jadilini maendeleo yako na familia yako na sio ya mtu au watu, mwisho siku zinaenda unabaki vivyo hivyo. Fikiria maendeleo yako na sio ya mwenzako. Awe injinia au sio injinia wewe itakusaidia nn au yeye atakusaidia nini tuache masufuria...
Wooote hao ki ukweli Dr ni namba 1 maana yeye ndie wa kwanza hao wengine woote wame copy kwake kwa kuingia xana mitandaoni na kupata taarifa lakini wakati ule Dr alikuwa anapata taarifa kwa taabu
Tundu ya kisu hatutakii mema wa zanzibar na endapo kutatokea mauwaji tutaomba mamlaka husika imzuie tundu ya lisu asitoke nnchini maana tunamuhitaji wa zanzibar aje atuthibitishie hilo kaburi la pamoja la tutagawana viungo vyake vya mwili afanye uchochezi huko huko kwenu bara huku atuachie wenyewe
Lissu kumbe toto burga haikuwa kwenye njaa ya 1974 burga ni unga kama una maziwa uliotolewa na marekani mwaka 1969 mpaka 1973 mwisho tena wakati wa utawala wa kenedy kabla hajauliwa
Lakini kumbuka unaposoma kuna vitu tunasema kuna elimu ya vitendo na ya darasani sasa lissu atuaminishe kwa vitendo baada ya kussoma awaonyeshe wazanzibar hilo kaburi la pamoja. Vinginevyo tutaamini kuwa akina lissu wana agenda ya kuwachonganisha wazanzibar na tanzania bara
Nasema hivi waseme lakini kikianza kunuka tu naiomba serikali wakuu woote wanyang'anywe passport na wanajeshi wakae mipakani asitoke hata mtu mmoja kukimbilia nje woote tufie humuhumu ndani
Simiyu yeti hawa jamaa ni kama homa ya kuumwa na mbu. Leo denge .kesho malaria. Keshokutwa matende. Basi irimladi na kama wangeangalia hitaji la wananchi ni nini? Ukawa wasingekuja na agenda ya serikali 3 badala yake wangeibuka na hoja ya daftari labda wangeeleweka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.