Ukawa ni Moto Mkali

Ukawa ni Moto Mkali

Ukawa ni genge la wasaka tonge
teh teh,mkuu hilo tonge wanalisakia wapi? Je yale mainterahamwe yaliyojazana pale bungeni yakiendekeza mipasho,kejeli,mipasho, na uchakachuaji kwa kulipwa 300000 kwa siku bure! Hakuna masaka tonge makubwa kama mainterahamwe huko dodoma!
 
Watanzania wameshakuwa makini kuliko mnavyofikiri, ukawa hauwezi kufanikiwa kuwahadaa hata siku moja.
teh teh, usifikiri watanzania wa miaka hii ndo wale wa mwaka 47, wananchi wengi wamekasirishwa na kitendo cha maccm kuitupa rasimu yao pembeni na kujadili iliyoandikwa pale ccm makao makuu! Watanzania wanawasihi UKAWA wasiende magogoni wala mjengoni! Waje kwa wananchi.
 
UKAWA inatakiwa iingizwe kwenye katiba kama TUNU ya Taifa

Bangi kweli. Kwa hoja gani watu wamekimbia bungeni kwa maneno yanayo ongeleka na kuzungumzika. Kwani ni mangapi yametokeya bungeni. Tena kwa maneno ya kashfa nado walimaliza kwa maridhiano kama kura ya siri na kura ya wazi
 
Leo katika pitapita zangu,nimekutana na vijana wawili,watanashati wanasifia UKAWA.Hawa vijana walikuwa karibu na kituo cha bodaboda KLC ,Singida mjini.
Kilichonishangaza ni pale walipo anza kuimba wimbo wa kuusifia UKAWA ule wimbo maarufu wa CHADEMA (UKAWA)CHADEMA(UKAWA) CHADEMA(UKAWA) PEOPLES POWER.(KATIBA YETU)
Katika kuimba wale madereva bodaboda waliwaunga mkono na kuimba pamoja na kushangilia kwa nguvu
UKAWA wanakubalika na watu wote makini na wapenda haki ingawaje watu makini na wapenda haki ni wachache duniani
 
nahisi buku 7 wamemwagwa humu ndani , kutetea ufirauni. kwa malipo ya elfu7 .kweli vijana twadharirika.
 
Nawewe ni kibara wa ccm, umeshalishwa sumu ya chama!!
 
Hahaha ukawa sio kitoto

Na kuna fununu sitta kaenda kupiga magoti znz
Anapaswa kwenda kupiga magoti mbele ya Mungu na kutubu kuruhusu mijadala isiyokuwa maoni ya wananchi. Baada ya kutubu asimamie katiba ya watanzania na si vyama vya siasa.
 
Back
Top Bottom