WILLAFRICA
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 4,027
- 930
Mi c.c.yem yote vichwani yana waza ukawa tu ,na bado hadi 2015 lazima mkatubu kwenye nyumba za ibada juu ya wizi na ufisadi mkubwa mlio litendea taifa hili.
Mkuu,Wadau chadema ni chama cha wanachama wote ila katika hali isiyoy ya kawaida Mbowe Kama mwenyekiti wa taifa akuunganisha chama kwenye ndoa ambayo kaamua mwenyewe bila vikao halali vya chama
Cuf kabla ya kuubariki UKAWA walifanya kikao cha baraza kuu wakatoa tamko la chama taifa
Chadema wapi kikao kilikaa kikaridhia kuunganisha cuf na chadema wakati inaeleweka wazi kua cuf na Ccm ni nyumba moja familia
Mbowe umeamua kuiua chadema kwa ajili ya taamaa za fedha ??
Mbona juzi kati kamati kuu ilikuwa inakaa kila siku wakati mkimwazimia zitto mlipo fanikiwa vikao navyo vimekoma kabisa
Mbowe tuitie baraza kuu tuje kujadili ualali wa ukawa na maendeleo ya chama laasivyo tutaita wenyewe
Wenye kuchangia karibuni Sana wenye kubeza pia karibuni
Mkuu,
Kwani siku zote ulikuwa unadhani Chadema ni mali ya nani.
Katiba imevunjwa au mwenyekit amekibaka chama
Ndiyo amenipa mama yako alikuja nyumbani jana usiku.Mamako mdogo kalazwa una taarifa?
Je unayo Katiba ya CHADEMA? unajua wajibu na majukumu ya Kamati Kuu? Acha propoganda wee huna akili kuwazidi hao viongozi wa Kitaifa. Wewe ni CCM subiria sindano iingie taratibu
Mkuu jibu swali la mtoa mada!naungamkono muungano wa vyama vya kisiasa ili kuondoa dudu ccm...cha msingi kuungane kwa dhamira moja
wadau chadema ni chama cha wanachama wote ila katika hali isiyoy ya kawaida mbowe kama mwenyekiti wa taifa akuunganisha chama kwenye ndoa ambayo kaamua mwenyewe bila vikao halali vya chama
wenye kuchangia karibuni sana wenye kubeza pia karibuni
hata hivyo, ni muhimu kukumbushana kwamba wenzetu hawatanyamaza kwa sababu eti sisi tumeacha kuwashambulia kwenye mitandao ya kijamii. lazima wataendelea! Wataendelea kumchafua mm kwa kupitia wapuuzi kama yule kichaa wa ars na kundi lake. Nini tutakuwa tunakifanya sasa? Tutahakikisha tuko busy kupost mambo mema na mazuri yatakayokuwa yakifanywa na mm kila wakati na kuzidi kusambaza sifa zake njema kila inapotokea nafasi. Atakayefanya kazi hiyo ni sisi wengine wala si yeye!
Pia tutahakikisha kila post ya kumchafua inapatiwa majibu bila kutumia id yake inayojulikana. Ni vema aidha akatupatia majibu na sisi kuyapost ama afungue id mpya kabisa ambazo hazijawahi kuwepo kwenye mitandao halafu ndo awe anazitumia kujibu lakini kwa kuzingatia tuliyokwishayazungumza hapo juu yaani kutofanya kwa emotion na kuepuka jazba lakini pia kushauriana na watu wa karibu kabla ya kutoa majibu kwa jambo lolote linalomhusu.
Mkuu unajua kusoma?nyari hoja yako nyepesi sana kutushawishi wanajamvi, propaganda huwezi kajipange upya wewe huru kisumundu mmezubazubaa
Mkuu mtoa mada ameuliza ni linimamluki mkubwa wewe,uKAWA inabaraka za wapenda maendeleo wote wa chadema.stop nonsense