Recent content by ureni

  1. U

    JamiiForums Tanzania Muswada Bungeni: Fao la kujitoa limefutwa rasmi

    Wakuu vip hii sheria imeshapitishwa?Na fao la kujitoa limekaaje?
  2. U

    JamiiForums Tanzania Viwanja vilivyopimwa vinauzwa Kibaha

    Bado vipo mkuu?
  3. U

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Dikteta huchukua hatua kadhaa kupandikiza utawala wa Imla

    Mimi naona TZ tulipofikia inabidi udicteta ili tuendelee mbele kwanza hiyo demokrasia imeletwa na wazungu ili waweze kutunyonya vizuri na kutufanya tuendelee na umasikini namsupport rais wangu anafanya kazi nzuri sana sana
  4. U

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa nyumba za kupangisha na wapangaji pitieni hapa, hii inawahusu

    mkuu wewe mpangaji huwezi shindana na mwenye nyumba ni shidaa tu utapata
  5. U

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa nyumba za kupangisha na wapangaji pitieni hapa, hii inawahusu

    Well said,una akili sana wewe jamaa
  6. U

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa nyumba za kupangisha na wapangaji pitieni hapa, hii inawahusu

    Haiwezi fanya hivyo manake watakua wanapunguza kodi yao bei ikipanda ndio faida kwa serikali manake wanapata more kodi
  7. U

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya angalieni hizi saluni za kunyolea nywele na maambukizi ya UKIMWI

    Mie naona kitu hatari cha exposed mtu salooni kwa ukimwi ni during scrubbing mtu anatumia mikono yake kwa kuscrub mtu mwingine bila kuvaa gloves aisee hatari
  8. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Manzese
  9. U

    JamiiForums Tanzania Bunju, Boko Traffic wapo, Tegeta kibaoni wapo, Makonde wapo, Mwenge wapo. Kama nchi imefilisika tuambieni

    Hakuna kero hapo wamefanya kazi nzuri sana kuangalia usalama wetu ajali barabaran hasa mwezi uliopita wa sikukuu zimepungua sana hii ni kuonyesha ufanisi wao mie nilisafiri kwenda mkoa na kuridi nilikamatwa zaid ya mara 5 walifanya ukaguzi na hawakunikuta na kosa nawapongeza sana kwa kazi nzuri
  10. U

    JamiiForums Tanzania Serikali kukataza wenye nyumba kukusanya kodi ya miezi 6, yasema inaumiza wengi

    mimi ukinilipa kodi yangu miezi sita au mmoja mie poa tu mradi ikifika mda wa kunilipa usinizengue manake hatutaelewana kabisa
  11. U

    JamiiForums Tanzania Kutoka vijidamu kwa msichana mwenye mimba changa

    Sawa mkuu,manake Boda boda inaweza kuleta mazara makubwa zaidi
  12. U

    JamiiForums Tanzania Kazi ya ujenzi wa ukuta Mererani Ikiendelea Kwa Kasi

    Magufuli ndiye rais anayetufaa kabisa safi sana
  13. U

    JamiiForums Tanzania Tanzia: Mwanafunzi wa UDOM afia juu ya kifua cha mwanamke wakati wa Tendo pendwa

    Wakati wa kusoma historia yake watasema nin kimemuua?
  14. U

    JamiiForums Tanzania Kutoka vijidamu kwa msichana mwenye mimba changa

    Ha hahaaa mbona umemchagulia bodaboda mkuu na sio gari?
  15. U

    JamiiForums Tanzania Benki ya Dunia: Tanzania ina nafasi gani katika kukua kwa Bara la Africa?

    Mhh mngejua World Bank iko kwa ajili ya maslahi ya kina nan wala usingeshobokea huu mjadala
Back
Top Bottom