Recent content by Urban Edmund

  1. Urban Edmund

    Nahitaji kufahamu kuhusu mkoa wa Shinyanga

    mimi nahitaji kujiajiri kwenye biashara sehemu ambayo ni kijijini ila kuna watu wengi ni kijiji pia kata i mean
  2. Urban Edmund

    COET or DIT

    ukitaka sifa somea Udaktari ukitaka hela somea famasia (husianisha)
  3. Urban Edmund

    Wajuvi wa lugha anaejua Visawe vya haya maneno anisaidie..

    Paka shume ni wale paka wa porini
  4. Urban Edmund

    Neno 'Nyoko' liligeukaje kuwa tusi?

    Nyoko na nina hayo maneno yote yanamaanisha mama sasa hii hali ya kutukana makunyoko au kyumanina ndio imezalisha hayo maneno kama tusi lakini sio kinyakyusa wala kikurya pekee bali kwa kiswahili sanifu hayo maneno yanamaanisha mama
  5. Urban Edmund

    Afisa Masuuli ndiye nani?

    Ofisa masuuli ni mtu anayehusika na utunzaji, uhifadhi matumizi na uruhusuji wa matumizi yake mfano Afisa masuuli wa halmashauri ya wilaya au manispaa ni mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya au manispaa mtawalia
  6. Urban Edmund

    Wasomi Bongo Wameshindwa Kufahamu Street English: Je, Lugha ya Mtaa ni Makosa au Maarifa ya Mjini?

    Hio haadi uwe mfuatiliaji sana wa lugha hasa kwa watu wa nje au uwepo hukohuko movies kwa watu wa swagga nyingi ndo mambo yao
  7. Urban Edmund

    Fasihi ni ukoko, na mwandishi ni kijiko; kwangua

    Huyu nae ni binadamu ?
  8. Urban Edmund

    Medical doctor vs bachelor of law

    Umesomea nn background yako ni ipi au ndio unasikiliza ushauri kama ni hivyo tuambie wewe umesomea nini tukushauri mtu wa diploma au coz form six wap shule
  9. Urban Edmund

    eFootball Special Thread

    Hili game lina raha yake ya pekee ukilijulia
Back
Top Bottom