Nyoko na nina hayo maneno yote yanamaanisha mama sasa hii hali ya kutukana makunyoko au kyumanina ndio imezalisha hayo maneno kama tusi lakini sio kinyakyusa wala kikurya pekee bali kwa kiswahili sanifu hayo maneno yanamaanisha mama
Ofisa masuuli ni mtu anayehusika na utunzaji, uhifadhi matumizi na uruhusuji wa matumizi yake mfano
Afisa masuuli wa halmashauri ya wilaya au manispaa ni mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya au manispaa mtawalia
Umesomea nn background yako ni ipi au ndio unasikiliza ushauri kama ni hivyo tuambie wewe umesomea nini tukushauri mtu wa diploma au coz form six wap shule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.