Pole sana Mimi nilifiwa na mama then baadae baba katika umri ambao natarajia kwenda five niliyumba sana licha ya kuachiwa mirathi iliisha maana Mali bila daftari huisha bila habari namshukuru Mungu yalishapita na nimesahau pole sana
Jamani naomba nipate maelezo ya kina imekuwaje baadhi ya wanafunzi wamepangiwa somo la computer kwenye combination ya advance kwenye michepuo wa PMCs ilhali o level hawakuwahi kusoma Computer ufafanuzi tafadhali
Nyoko na nina hayo maneno yote yanamaanisha mama sasa hii hali ya kutukana makunyoko au kyumanina ndio imezalisha hayo maneno kama tusi lakini sio kinyakyusa wala kikurya pekee bali kwa kiswahili sanifu hayo maneno yanamaanisha mama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.