Recent content by uptown makumbusho

  1. uptown makumbusho

    Najuta kutembea na kumpa hela zangu mume wa mtu bila kujua

    Huwa siwaonei huruma Wanawake wengi wanaoangukia kimapenzi kwa waume za watu wakat vijana singles kibao tu hawajui utamu wakamwage wapi mara nyingi sana hujifanya you don't care km mtu ameoa au la but akija kukuacha suala la kuwa umetembea na mume wa mtu huwa mnaliweka km moja wapo ya point, no...
  2. uptown makumbusho

    Inashangaza sana mtu analipa hela kuangalia mpira kwenye TV huku bado anasikiliza kwenye redio

    MI cku hz nmeacha kuangalia mechi vibanda umiza maana hata raha ya kuangalia mpira watu wa BBC Swahili wanaharibu kinoma
  3. uptown makumbusho

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Inaonekana network ya simu shida sana huko mpaka minara mirefu km upo kijijini
  4. uptown makumbusho

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Bila kusahau kuwa Yale mafuta ya alizet (sunflower oil) wanayokula matajiri tu Hapo Kenya yanalimwa na kukamuliwa kwenye viwanda vya mafuta ya alizet singida
  5. uptown makumbusho

    Locations zenye idadi kubwa ya watu Dar

    Sehem yoyote ambayo mji unachipuka km vile kigamboni, tegeta, kongowe panafaa cha msingi uangalie usalama kwanza maana mtu anaweza kuja kukuvamia na kukuua kukuibia elfu 50 tu
  6. uptown makumbusho

    Mpenzi wangu tuwapo penzini ile nachochea ananiambia nenda kotekote, anamaanisha nini

    Ukikutana naye tena tumia kidole cha shahada kubisha hodi ukiona hakuzuii bali anasisimka ujue umeruhusiwa kupitia milango yote ukishindwa tena hapo ujue unatupiwa virago muda sio mrefu
  7. uptown makumbusho

    Mwanaume wa kuzaa nae!

    Hayo makabila yalikukosea nn maana ni ya watu wenye misimamo
  8. uptown makumbusho

    Ubaguzi dhidi ya watu wa kaskazini kunaweza kugawa nchi vipande viwili.

    Akili zao ni wizi chapchap ndo maana wanaelewana sana na wakikuyu wezi wa Kenya maana tabia zao zinafanana
  9. uptown makumbusho

    Ubaguzi dhidi ya watu wa kaskazini kunaweza kugawa nchi vipande viwili.

    Nilibahatika kusoma shule moja maarufu moshi mjini miaka ya 2000s Yaani ni full uchaga na upare tofaut na hapo imekula kwako jamaa kibao wa hapo moshi au arusha wakifanya misala huwaskii wakipigwa suspension au kufukuzwa ni kitendo cha mwalimu kuomba namba ya simu ya mzazi wakikutana bar kugonga...
  10. uptown makumbusho

    Ubaguzi dhidi ya watu wa kaskazini kunaweza kugawa nchi vipande viwili.

    We Umeona kivuko kibovu na escrow ndio issue? VP kuhusu mashirika ya umma km kahawa(kncu), reli ya arusha kupitia moshi mmeiua kuanzisha kampuni za mabasi kwenye madili karibu yote ya ufisadi kuanzia miaka ya 80s, 90s mpaka sasa ni majina yenu yamesheni afu unaona ni escrow pekee ndio ufisadi
  11. uptown makumbusho

    Vibamia vimetokea wapi, mbona havikuwa maarufu siku za nyuma?

    Wanawake wa cku hz wengi wao hawajui wanataka nini ukiwaendekeza utaumia roho cha msingi tafuta furaha yako kwanza maana hata Ukiwa na mguu wa Mtoto Bado watakutafutia sababu ya kuleta dharau cha msingi tunza nguvu zako za kiume utazihitaji uzeeni Ukiwa na hela za kutosha
  12. uptown makumbusho

    Ubaguzi dhidi ya watu wa kaskazini kunaweza kugawa nchi vipande viwili.

    Usijitape kuwa wa kaskazini wana akili kuliko watanzania wengine waliwahi kusoma kwakuwa walijengewa na mzungu shule nyingi huko na wao ndo walioanza kuongoza mashirika ya umma toka uhuru na ndio waliofanya ufisadi na sabotage za kutosha kuua hayo mashirika kwa ajili ya ubinafsi ukikuta kuanzia...
  13. uptown makumbusho

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkeka wa Leo na kesho unekaaje
  14. uptown makumbusho

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wazee wa minara inaonekana network ya simu shida sana huko
Back
Top Bottom