. Waluguru, wakwere, wazaramo waja juu
. Wasema tambiko lao limekhanithiwa
KITENDO cha baadhi ya wazee wanaojiita kutoka Dar es Salaam, kumvika uchifu Katibu Mkuu wa Chadema Wilibroad Slaa, kimelaaniwa na wazee wa kabila la Waluguru, Wakwere na Wazaramo.
Wazee hao wanasema, wameshangaa kuona...