Recent content by up-dee

  1. up-dee

    Tuache ujima! Tuache Rais Magufuli asemwe, kukosolewa hata kushauriwa. Tuache vitisho

    Kiza na hofu ikitawala akili zinakuwa na woga wa kufikiria sasa wewe unafact zakupinga hiyo hoja au unamapenzi na huyu anaekutawala bcoz magufuli haongozi anatawala. jidangane jipe moyo live this dream but reality will strike vry soon magufuli ni dikteta ni muoga haana iq yakuongoza nchi...
  2. up-dee

    Polisi wamsaka ...

    Sio tendency magufuli anaiga kuwa dikteta kwa tanzania inaonekana wazi amekua dikteta nyumbani kwake sasa kapewa a bigger house so alienda rwanda kufanya orientation ili aje kutekeleza atawa diktate his house na polisi na makonda,nape,january,majaliwa na midoli kadhaa kwenye serikali yake but...
  3. up-dee

    Siungi mkono Rais kutukanwa!

    President akiwa bwege hatuwezi kumuita malaika napinga vikali kauli ya lema. kama angefanya kazi alotumwa kufanya tungemsifu na tungemuita better words juzi alizuia sukari kutoka leo imeagizwa kutoka nje utamuitaje mtu wa sampuli hii mr lema am a big fan of ur work but call a spade a spade
  4. up-dee

    Ninamshauri Zitto Kabwe; Maisha ni uhalisia wa kitu kinachotokea mbele yako

    Wewe ndo zumbukuku kweli zitto ni simba mpenda haki wewe inaonesha ulipenda enzi za ujamaa wewe unapenda znz kunyanyaswa na unaita udhalimu amani wewe huna akili hata ya darasa la kwanza umeridhika na maisha haya yakimaskini tz bado ni dampo la maskini tembea uone dunia ilipofika then uje useme...
  5. up-dee

    Naogopa sana huku tunakoelekea kama upepo ukibadilika

    Wewe haupo tanzania au unaakili na mdomo wakupayuka kama president of tanzania.manake lzm mpigike ulivoisema kama wewe hununui sukari ?
  6. up-dee

    Polisi wazingira Mahafali ya CHASO Dodoma, Watawanywa kwa nguvu

    Hamna tena tanzania polisi sku hizi kuna ccm polisi,jeshi la polisi tanzania hamna tena kuna jeshi la polisi la magufuli amka uone mbona huko tumeelewa
  7. up-dee

    Sumaye: Magufuli anapandikiza chuki na hasira katika jamii

    Matatizo kweli tunayo ila sasa serikali ya awamu hii ni ya vichaa kwa hiyo tunataka tutibu ugonjwa kwanza ndo tutatue matatizo upo hapo we need to treat the handicap then we can overcome our issues
  8. up-dee

    Sumaye: Magufuli anapandikiza chuki na hasira katika jamii

    Sio inaweza akawa failure he is a disappointment kwa ccm he is confused and kasahau this is a nation not his house kama amezoea ku abuse his family thats his weakness but he can't abuse democracy and this love we have for tanzania we will fight back na muoga dawa yake kidogo kuliko mwizi
  9. up-dee

    Kikwete anaweza kumkabidhi chama cha siasa asiye mwanasiasa kukiongoza?

    Mwanasiasa anaangalia mbali anakuwa na game anakuwa kichwa kimetulia mwanasiasa anaongoza hatawali,wa sasa ,mfinyu wa mawazo,iq negative he says this he does that anaropoka saana nirahisi kumsoma no vision he doesn't know his position ubabe wa kuiga and for sure a one term president
  10. up-dee

    Updates zoezi la kuzima simu bandia

    Why wasingeanza na dawa feki,barabara feki serikali feki pikipiki feki almost kila kitu from china is the lowest quality ever why only simu kuna nini they r hiding biashara kama ile ya mabasi lazima speed gavana leo zinakimbia mia ishirini ?
  11. up-dee

    Jenerali Ulimwengu: Tumerudi nyuma miaka 50 kwenye demokrasia, Kikwete apelekwe mahakamani

    Blaza muulize since magufuli aingie ikulu nini kimeshuka bei,or kitaa kumeongezeka nini? Mr president mpaka sasa haamini he is elected mpaka sasa anachosema na anachofanya is opposite sjaona jipu hata moja nimeona civil servants wakisimamishwa kazi kwa kutokundenda kazi zao,fisadi wamekaa...
  12. up-dee

    Kamanda Sirro: Tutamfungulia Zitto kesi ya uchochezi

    Kamanda ziro you are seriously a handicap na aliekutuma is retarded unaongelea katiba mara amani mara uchochezi are blind kazi ya polisi ni moja tu!! TO SERVE AND PROTECT sasa wewe una serve ikulu na unaprotect tumbo lako get ur head out of your a** open ur eyes polisi haina chama hairuhusiwi...
  13. up-dee

    Bashe: Kama mnataka kutukata kodi mkateni na Rais

    Ccm wakibanwa na ccm wanakua hawana chakusema zaidi yakumpeleka kwa lowasa sawa he is team lowasa so what?the dude is asking a simple question bashe ndo mpinzani alobaki bungeni in a green and yellow flag ni simba hakoseagi its a matter of time atawadhihirishia watanzania they did a wrong choice...
  14. up-dee

    Mbunge wa Karagwe aomba Rais Magufuli alipopigia push up ujengwe uwanja wa kumbukumbu!

    Blaza r yu blindly that serious,juzi kamtoa mlevi uwaziri,nape ni waziri au yupo wcb kwa chibu wazee waloteuliwa ndo walewale 50+ yrs yakurudi reverse na ccm do u expect to do the ccm thing and getting different results from same ccm with the worst president in charge
  15. up-dee

    TWAWEZA: Wananchi 8/10 wanapinga uamuzi wa serikali kusitisha matangazo LIVE ya Bunge

    Ccm wameishiwa siasa wamegawanyika,wamechanganyikiwa,wana depression, sio kwamba hawaoni au hawajui kama wanatunyima haki yakikatiba but wanamuogopa rais wanabakisha siku sio nyingi wamwapishe kuwa mungu wao, wamesahau when the tough gets going the going gets tough we r not slaves tutawakimbiza...
Back
Top Bottom