Recent content by Unluckyboy

  1. U

    Je ni muda gani sahihi wa kubadilisha shokapu (shock absober,) ya gari yako?

    Mimi nahitaji shockup zote nne complete na coil zake ndugu yangu nipe gharama zake aina ya gari ni premio corona old ya 1996 chasis no ni AT2110040917 nipo serious sana mkuu 0786661993 whatssup
  2. U

    Zijue athari unazompa mtoto na wewe mwenyewe baada ya kutengana na mzazi mwenzio(divorce)

    Hongera Kaka nilitamani Sana Mzazi mwenzangu angekuwemo humu pia asome Hii Binafsi imenigusa Sana natamani Ni screenshot then nimtumie Ila nimefanya Sana Hii Ila hata haimgusi kabisa tayari hisia zake zimehamua kwa mwanaume mwingine ameshavishwa na Pete ya uchumba bila kujali athari za mwanetu...
  3. U

    Natafuta mke. Nipo mwanza

    🤧Naunga hoja mkuu nipo naufatilia Uzi huu ukifanikiwa kupata mke mwema ulete mrejesho mi pia nahitaji 0786661993🙏🙏
  4. U

    WANAUME WENZANGU: Umewahi kufanya jambo ukaja kujuta baadae kama mimi ninavyojuta mpaka sasa?

    Asante Sana Ndugu yangu inaumiza mno kinachouma zaidi niliandaa Pete ya gharama nimfanyie surprise kumbe nayeye aliandaa Surprise yake ya kuniumiza😔Amenivunja moyo mno na Ameshakubali kuvishwa na Pete asee.mmh haya mapenzi usiingie kichwa kichwa Jamani Kuna kufa.
  5. U

    WANAUME WENZANGU: Umewahi kufanya jambo ukaja kujuta baadae kama mimi ninavyojuta mpaka sasa?

    Tatizo sio kuisha kwa wanawake ndugu Tatizo Ni kupenda binadamu tunatofautiana nduguangu Kuna Sina ya binadamu ambao akishapenda amependa hatamani kubadilisha badilisha mtu na kikubwa zaidi tamaa yangu ilikua kuzaa watoto wangu wote na mwanamke mmoja Tu isiwe kila mtoto na mama yake hiyo kitu...
  6. U

    WANAUME WENZANGU: Umewahi kufanya jambo ukaja kujuta baadae kama mimi ninavyojuta mpaka sasa?

    Kuna haja ya kuanza na Mungu hakika mwanzo nilifeli kwakua sikuanza na Mungu Asante kwa ushari mzuri Rafiki🙏
  7. U

    WANAUME WENZANGU: Umewahi kufanya jambo ukaja kujuta baadae kama mimi ninavyojuta mpaka sasa?

    Pamoja Sana mkuu,🙏🙏 hamna namna kisicho riziki ama kweli hakiliki kinachoniuma Ni mtoto Kuja kuanza kuitwa huyu Ni Kaka etu Ila wa baba mwingine...Ila ishatokea nikubali matokeo tu
  8. U

    WANAUME WENZANGU: Umewahi kufanya jambo ukaja kujuta baadae kama mimi ninavyojuta mpaka sasa?

    Asante Sana bingwa umenionyesha Nini nifanye wapi nianzie Nashukuru kwa ushauri wako Big🙏🙏🙏 Japo nilichokuwa nikikifanya kwasasa Ni kumhudumia mwanangu kwa kula anachohitaji make dogo anaingia darasa la tatu mwakani na mamaake aliforce kumpeleka private yeye na mama mkwe wangu wote waliforce...
  9. U

    WANAUME WENZANGU: Umewahi kufanya jambo ukaja kujuta baadae kama mimi ninavyojuta mpaka sasa?

    Pole Sana ndugu yangu stori yako ilitaka kufanana na yakwangu japo yangu Ina utofauti kidoogo Mimi niliishi na mwanamke mmoja iv mjita nilibahatika kupata nae mtoto mmoja wakiume tulimlea Hadi miaka mitatu pamoja, picha likaanzia hapo mwanamke akaniambia amepata kazi ambayo kazi hiyo atalipwa...
  10. U

    Wakali wa series, msaada wa Series kali za action/upelelezi/ugaidi

    Niuzie hii disk man nikupe ngap? Ni terabytes ngapi na kampuni gani?? Kama una disk ya WD niuzie bro yenye mzugo ndan
  11. U

    INAUZWA Kwa anayetaka kufungua biashara ya kuuzia watu filamu au nyimbo (softcopy) karibu tufanye biashara

    Asante sana kaka kwa maelezo yako nimeelewa vema sana kaka nitafanya hivyo kaka kama ulivyonielekeza ngoja nipambane pambane tutawasiliana kibiashara zaidi kaka nakushukuru sana bro
  12. U

    Darasa: Jinsi ya kudownload (Kupakua) series za Netflix

    Hapa umemaanisha movie ikiwa full mfano season inakua hadi final au umemaanisha kipande kimoja pekee?
  13. U

    INAUZWA Kwa anayetaka kufungua biashara ya kuuzia watu filamu au nyimbo (softcopy) karibu tufanye biashara

    Brother Mimi nipo babati manyara Nina full vifaa yaani meza desktop complete ina 2terabyttes nawaza nianze kuifanyia kazi kinachonikwamisha ni wasiwasi wangu kuhusu usajili naomba unielimishe kidogo kuhusu kusajili hii biashara ya library ndogo ndio nataka nianze sijui nianzie wapi ili niisajili...
  14. U

    Ni baada ya muda gani ajira portal huita watu kwenye interview baada ya deadline ya maombi kufika?

    Ila nadhani pia ni kulingana na wingi wawatu walioomba nafasi husika maana mfano kama Mimi niliomba tanesco na tra udereva decline ilikua ni tarehe 4 tanesco na tar 8 tra ila mpaka muda huu mkeka haujawekwa
Back
Top Bottom