Recent content by ungie

  1. U

    Tokea mtaani hadi bungeni - Profesa Jay

    Jana Mkude Simba ndyo anajifanya kumpongeza wakati alikwenda kupiga show mikumi na kumponda J ili asipite.
  2. U

    Kagasheki achukua ambulance yake baada ya kushindwa uchaguzi

    Hata Mathayo alivyoshindwa Musoma mjini 2010 aliwanyang'anya wanafunzi madawati aliyotoa kama msaada akiwa mbunge.
  3. U

    Kero: George Marato wa ITV

    Mimi nikishasikia ana report Marato nabadili Chanel kwanza the narudi. Sipendi kumsikia.
  4. U

    UKAWA mtumieni mama Regina Lowassa kwa namna hii

    Kwa hili wazo naunga mkono kabisa.
  5. U

    Bado Lowassa ana nafasi kubwa ya kushinda

    Ushindi kwa Lowasa upowzi kabisa.
  6. U

    Steven Wassira adai hakubaliani na ushindi wa Easther Bulaya

    Tyson atulie sasa alee wajukuu. Toka enzi ya ileee apishe.
  7. U

    Hongera sana Halima Mdee

    Nampongeza sana Halima maana walitaka kumpora tonge mdomoni.
  8. U

    Hi ni aibu kwa Taifa miaka 50 ya uhuru, bado kuna watu wengi wasio jua kusoma na kuandika

    Hiyo janja tu.. Wameshauza haki yao kwa vicent vya siku moja kwa miaka mitano.
  9. U

    Mara - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Musoma mjini chinja mathayo apotee kabisaaa.
  10. U

    Girlfriend wangu kanitumia hela bila kumuomba

    Ukipewa bure nawe toa bure. Kahongwa ma jamaa kaona akukatie kidogo.
  11. U

    Girlfriend wangu kanitumia hela bila kumuomba

    Ile ya kiwanja ili uongezee?
  12. U

    Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

    Mimi kwa kipindi hiki nipo kwenye baridi kali sana ila tatizo ninalo pia.
Back
Top Bottom