Uko sahihi mkuu, lakini nadhani hujanielewa mpaka mwisho, nimesema siku hizi kila anayevaa magwanda ya mabaka watu wanadhani ni JWTZ. MIE NGOJA NIKALALE
Angalieni hata vituo vinavyotoa haya matangazo. Unawezakuta anayetangaza ni wale makanjanja wetu. Ni vema hii wanajf wafanye upembuzi kabla ya comments. Haipo na haitatokea jw ilinde fiesta. Labda wangeweza kulinda kama hiyo ingefanyika kambini kama kwenye ukumbi wa lugalo. Watangazaji hawa...
Wana jf kuna tetesi kwamba aliyekuwa mbunge wa igunga ndugu rostam alikodi watu na kuwasafirisha kwa ndege kutoka dsm kwenda igunga kwenda kulia na kuzimia ili ionekane watu hawapendi ajiuzulu. Mwenye habari kamili atujuze
Mkuu uko sahihi, lakini usiwaangalie hao tu. Lengo la nafasi maalum lilikuwa ni muhimu lakini kama unavyojua mabaya hayakosi kama ilivyo tumeona wabunge wengi wa viti maalum wana upeo mdogo, wengi wanakwenda kutoa taarifa bila research, wengi pia hata uvaaji wao unapotosha maadili ya kitanzania...
Nadhani shibuda yuko sasa. Anastahili kuheshimiwa kwa mawazo yake. Cdm wajifunze nini maana ya demokrasia. Mie nakubaliana naye kuwa posho za wabunge ni kidogo, lakini ningempongeza kama angeishauri serikali jinsi ya kuongeza mapato ili angalau hata kima cha chini kingekuwa milioni moja, mbunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.