Recent content by UncleRobi

  1. UncleRobi

    Usafiri wa basi na kero ya kelele za muziki

    Hili ni tatizo Kwa kweli
  2. UncleRobi

    Kazi nilizowahi zifanya na zikanishinda kwenye utafutaji

    Nitakuwa nakufahamu nimefanya kazi Mofed kipindi cha hayo matukio nilikuwepo
  3. UncleRobi

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Wewe utakuwa ni big chawa Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
  4. UncleRobi

    Hivi Hayati Magufuli alikosaje akili ya kutengeneza kitu cha maana kama Royal Tour?

    Ujui unachokiongea, your idiot man Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
  5. UncleRobi

    Hivi Hayati Magufuli alikosaje akili ya kutengeneza kitu cha maana kama Royal Tour?

    Magufuri alikuwa mfuatiliaji, hakuwa mtu wa kukurupuka,Alishawambia ktk utawala wake hatakia ujinga ujinga, he was the man of principle, over. Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
  6. UncleRobi

    Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

    Wanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni...
  7. UncleRobi

    Ni katiba mpya pekee itayoweza kuzuia ufisadi huu unaoenda kufanyika vinginevyo ni ni maumivu kwa taifa letu

    Yaani no hatari Kwa kweli watu wanaiba pesa ya Serikali bila woga
  8. UncleRobi

    Serikali ya Kuupiga Mwingi: Badala ya kuzungumzia maisha ya watu mitaani mnaendekeza majungu

    Yaani aibu kiongozi wa juu unaongozaje nchi kimajungu majungu na chawa wameshajua hilo wanakandamizia humohumo, suburi uchaguzi ukaribie upepo utakapo geuka atajua ajui, amuhulize Mkwele 2015 ilikuwaje
  9. UncleRobi

    Rais ashauriwe apumzike kumnanga Rais aliyetangulia

    Yaani nchi hii kila kabila na tabia zake, Kada ya ziwa na very hardworking people hawa wenzetu ni majungu na kucheza bao, kazi imeshawashinda walifikiri ulojo huu na bado kazi aijahanza watatafutana kwa tochi
  10. UncleRobi

    Rais ashauriwe apumzike kumnanga Rais aliyetangulia

    Ni kweli aisee, hawa wote walikuwa makanjanja
  11. UncleRobi

    Rais ashauriwe apumzike kumnanga Rais aliyetangulia

    Ukiona mtu anaingiza mambo ya udini na ukabila kama wewe ujue huyo amaishiwa kichwani
  12. UncleRobi

    Kwanini Watanzania wengi hawamtaki Waziri wa Nishati, January Makamba?

    Nyie mnao mtaja taja dini ni watu wabaya sana katika taifa hili amfai hata kidogo.
  13. UncleRobi

    Kwanini Watanzania wengi hawamtaki Waziri wa Nishati, January Makamba?

    Wewe ndiyo mdini utakuwa, auna hoja kaa kimy
  14. UncleRobi

    Historia ya Lucifer

    Nimekuelewa sana, sina sababu ya kuhoji chochote jinsi ulivoelezea madhara ya zinaa,nikiri kuwa sijawai kupata hii elimu popote zaidi ya kusikia au kusoma makatazo kuwa zinaa ni dhambi au uleta magonjwa na mwisho mzinifu uenda motoni, leo umeniongezea ufahamu tofauti na niliouzoea kusikia...
  15. UncleRobi

    Historia ya Lucifer

    Aisee hii mada ni hot sana naona wamepanic kuna kitu hapa naona umevujisha siri zao.Nataka kujua kitu kimoja ktk dini ya kiislam wanakataza sina kufanya zina hata ktk amri 10 za Mungu kupitia dini ya kristo amri namba sita inakataza kuzini.Naona ktk mada yako umeongelea sana hilo swala najaribu...
Back
Top Bottom