Recent content by Uncle Z

  1. U

    Utapiga kura mwaka huu?

    Sina mpango kabisa
  2. U

    Mnishauri, nahitaji kuacha ajira Serikalini ili nisimamie biashara zangu

    Andika barua ya ruhusa bila malipo ya mwaka mmoja ila siku mambo ya kibuma unalud kwenye ajira
  3. U

    Anaomba ushauri: Alimuacha mke kwa miaka 9 (bila kumpa talaka kwa ndoa ya kiislamu), sasa anataka warudiane wakati mke alishaolewa!

    Wewe jamaa tafuta kibunda tu ...ulimuacha mwenyewe sahiz unataka umrudia miaka 9 huna aibu na unaomba mtaji mwache mwenzio alea watoto
  4. U

    Biashara ya mbao

    Mkuu umesahau mashine ya kuchania mbao maneno yaliyo na miti Njombe , iringa nk ila huko kuna wadau wengi
  5. U

    Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

    Leta majina yako origino nikugeuze uwe kichaaa
  6. U

    Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Rais Samia ataendelea na Urais baada ya 2025

    Mama sisi walipa kodi tunaumia sana tunavuona kod zetu zinatafunwa na wachache tena bila huluma mhe Rais tunakuomba wote walitajwa wachukuliwe hatua na mali zao kutaifishwa
  7. U

    Kwa wanaume. Hakikisha hukosi hivi nyumbani kwako

    Ila hivyo vyote inafaa ukiwa kwenye nyumba yako mwenyew ndio uta enjoy zaid
  8. U

    Ni nani waliongeza cha juu kwenye manunuzi ya ndege ya mizigo?

    Mama inabidi awe mkali kwa vitendo sio walipa kodi tunaumia sana watu wanatafuna hela kirahis kabisa ..fukuza wote taifisha vitu vyao weka ndani itakuwa fundisho kwa wengine.
  9. U

    Vijana waliooa wanakwaza sana

    Mara nyingine unakuwa ni utani tu anakuuliza ili muendelea na story
  10. U

    Wakala nauliza :Airtel money mnakwama wap? Igeni Tigopesa au Mpesa

    Aitel kamishen zao ni ndogo sana. . Yaan unaweza hudumia wateja wengi lkn malipo yao had unashangaa
Back
Top Bottom