Mama sisi walipa kodi tunaumia sana tunavuona kod zetu zinatafunwa na wachache tena bila huluma mhe Rais tunakuomba wote walitajwa wachukuliwe hatua na mali zao kutaifishwa
Mama inabidi awe mkali kwa vitendo sio walipa kodi tunaumia sana watu wanatafuna hela kirahis kabisa ..fukuza wote taifisha vitu vyao weka ndani itakuwa fundisho kwa wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.