Uzalendo Installer
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 5,365
- 8,836
Airtel Money tunaomba muweke mfumo wa kuangalia commission zetu mawakala kama ilivyo kwa vodacom au tigopesa... Tuwe tunaweza kuangalia commission muda wowote ili tuweke hesabu zetu sawa na sio kututumia sms asubuhi za commission kila siku.
Hii inatukatisha tamaa sana maana, kwanza commission yenu ni ndogo sana alafu hujui utapata kiasi gani au umefikisha kiasi gani.
Vodacom na tigo unaweza kuangalia commission muda wowote na ukapangilia hesabu zako.
Kwa mfumo uliopo airtel sasa hiv.. Unatoa mwanya mkubwa wa kutolipwa kamisheni yako mwisho wa mwezi.. Mimi binafsi sikulipwa miezi miwili, nilifatlia kwa wakala mkuu nae akapeleka makao lakin mpaka leo hakuna kitu na tulikuwa wengi.. Labda niwape sababu kwanini tunafunga uwakala wa airtel money
1: kamisheni yenu ndogo sana
2: asilimia za kutolipwa hiyo kamisheni yenu ni kubwa sana yaani mawakala tunakaa na maswali kichwani sijui mwezi huu nitalipwa au la
3: customer care yenu mbovu sana.. Ukiwapigia simu huwa wanajibu majibu mabaya sana
Rekebisheni mambo hayo ili tufanye biashara vizuri.. Pia ongezeni time out ya system yenu inawahi kukata wakati wa kutuma pesa.
Nawasilisha.
Hii inatukatisha tamaa sana maana, kwanza commission yenu ni ndogo sana alafu hujui utapata kiasi gani au umefikisha kiasi gani.
Vodacom na tigo unaweza kuangalia commission muda wowote na ukapangilia hesabu zako.
Kwa mfumo uliopo airtel sasa hiv.. Unatoa mwanya mkubwa wa kutolipwa kamisheni yako mwisho wa mwezi.. Mimi binafsi sikulipwa miezi miwili, nilifatlia kwa wakala mkuu nae akapeleka makao lakin mpaka leo hakuna kitu na tulikuwa wengi.. Labda niwape sababu kwanini tunafunga uwakala wa airtel money
1: kamisheni yenu ndogo sana
2: asilimia za kutolipwa hiyo kamisheni yenu ni kubwa sana yaani mawakala tunakaa na maswali kichwani sijui mwezi huu nitalipwa au la
3: customer care yenu mbovu sana.. Ukiwapigia simu huwa wanajibu majibu mabaya sana
Rekebisheni mambo hayo ili tufanye biashara vizuri.. Pia ongezeni time out ya system yenu inawahi kukata wakati wa kutuma pesa.
Nawasilisha.