Habari yenyu wadau...
Nawafahamisha kwamba ninategemea kuvuna matikiti makubwa kwa madogo mwishoni mwa mwezi huu wa tisa 2014, na yatauzwa kulingana na ukubwa wa tikiti lenyewe.
kwa atakae hitaji au mawasiliano zaidi tafadhari ni pm.
wakuu msaada, natuma ile online form ya TRA lakini inagoma inaniambia nijaze "vacancy" wakati sehemu ya vacancy haina kitu so nimeshindwa nifanyeje wakuu naombeni msaada...
mkuu nimejaribu kucheki kwenye hiyo MSF sijaona hiyo sehem ya sections naona mauza uza tu ya kifaransa mkuu. so kama vp embu nipe maujanja niitafuteje maana nime search lakini hola.
Nchi inakopesheka na wafanyakazi nao wana "KOPEKA" Uzuri wa wabongo hii issue ya cjui deni la taifa walaa haliwahusu wenyewe ni AMANI 2... Hivi wakuu hili deni linawahusu hata wazanzibari? Au niwatanganyika 2? Wabongo bei yamkate 2 ikapanda hawa mind na inawagusa direct ije kuwa cjui deni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.