Kule maisha si lelemama kama bongo, serious kweli muda ndo pesa, (githeli & wali wao havina ladha nzuri) vyakula pika mwenyewe la sivyo kila weekend rudi bongo kama utaweza!
watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa (badala kuomba waeleweshwe wao ni viburi,dharau,tambo,majigambo kibaya hawana ushahidi wa kwenye biblia, wana ushahidi wa kulishwa bila kuhakiki huyu kayapata wapi anatufundisha?) anyway Yesu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea!
Ule ndo uimbaji, sio kurukaruka mijasho ikutoke mara kiduku, kata kiuno wanaokutizama wapate neno, sio wakusifie ati umecheza vizuri kumbe sifa na utukufu ni vyako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.