Recent content by UMUNYU

  1. U

    JamiiForums Tanzania Namna ya kukabiliana na changamoto hii ya ardhi

    Iko hivi,kuna uwezekano mkubwa huyu jamaa amefanya hivyo kwa makusudi!Kwa sababu hata upande wake mawe yaliyowekwa na aridhi alishayatoa.Tumejikuta tuna fika hadi hapo kwake kwa kutumia mawe yaliyo kwenye viwanja vyetu.Kilichonishtua ni kwamba aliwahi nitumia meseji akidai anafikiria atuhamishie...
  2. U

    JamiiForums Tanzania Namna ya kukabiliana na changamoto hii ya ardhi

    Nashukuru kwa ushauri nitaufanyia kazi
  3. U

    JamiiForums Tanzania Namna ya kukabiliana na changamoto hii ya ardhi

    Habari ya leo wanajf! Naombeni ushauri wa namna ya kukabiliana na changamoto hii ya aridhi kwa busara na kwa amani. Mimi na mwenzangu tulinunua viwanja sehemu moja iliyopimwa, kwa hiyo ni viwanja halali na vina hati. Changamoto iliyojitokeza ni kwamba alitokea bwana mmoja akawahi kujenga...
  4. U

    JamiiForums Tanzania UWEKEZAJI KATIKA HISA LEO 4/5/2026

    Sasa hizo hisa za Mwanga bank ziko wapi?
  5. U

    JamiiForums Tanzania Plan B yakuokoa Hasara kwenye Hisa

    Ni sawa!Lakini kumbuka chochote binadamu anachokifanya kinaenda na muda!Kuna muda wa kupoteza na muda wa kupata kikubwa ni kujiandaa kifedha na kisaikolojia!!Mkulima anayeenda kulima mazao yake,mvua ikagoma asivune chochote na akapata hasara mazima Je alikosea kulima?Hapana.Ndiyo maana ninasema...
  6. U

    JamiiForums Tanzania UWEKEZAJI KATIKA HISA LEO 4/5/2026

    Je hisa zao ziko DSE?
  7. U

    JamiiForums Tanzania UWEKEZAJI KATIKA HISA LEO 4/5/2026

    Asante sana ndugu,hapo umenipa mwanga na sehemu ya kuanzia!
  8. U

    JamiiForums Tanzania UWEKEZAJI KATIKA HISA LEO 4/5/2026

    Asante sana kwa ushauri ninauchukua ili nianze kuufanyia kazi!Ninachokuomba ni namna ya kuifahamu benki yenye mkono wa serikali na watu,hapo ndiyo ningeomba unielimishe zaidi kama hutojari!
  9. U

    JamiiForums Tanzania UWEKEZAJI KATIKA HISA LEO 4/5/2026

    Habari ya leo wadau!Kama mtu anaanza kuwekeza katika hisa leo 4/5/2026 unaweza kumshauri anunue hisa za kampuni/benki gani?NAOMBENI USHAURI HAPO
  10. U

    JamiiForums Tanzania Mbona hamkuniambia kuwa HISA ni mchezo wa kubet?

    Ina maana hata UTT kuna loss?Mbona wataka kunipa taharuki
  11. U

    JamiiForums Tanzania Mbona hamkuniambia kuwa HISA ni mchezo wa kubet?

    Umetoa ufafanuzi mzuri!
  12. U

    JamiiForums Tanzania Msaada wa namna ya kufungua mfuniko huu!

    Nashukuru sana kwa ushauri nitaufanyia kazi maana ni kagumu balaa.Choo kinarudisha maji yamejaa nilitaka nizibue kutokea hapo
  13. U

    JamiiForums Tanzania Msaada wa namna ya kufungua mfuniko huu!

    Niokoe na hiyo akili kubwa
  14. U

    JamiiForums Tanzania Msaada wa namna ya kufungua mfuniko huu!

    Ni uchafu upi ninaoweza kuuvunja?
  15. U

    JamiiForums Tanzania Msaada wa namna ya kufungua mfuniko huu!

    Naomba ufafanuzi zaidi bado sijakupata vizuri
Back
Top Bottom