Recent content by UMUNYU

  1. U

    Msaada wa namna ya kufungua mfuniko huu!

    Nashukuru sana kwa ushauri nitaufanyia kazi maana ni kagumu balaa.Choo kinarudisha maji yamejaa nilitaka nizibue kutokea hapo
  2. U

    Msaada wa namna ya kufungua mfuniko huu!

    Niokoe na hiyo akili kubwa
  3. U

    Msaada wa namna ya kufungua mfuniko huu!

    Ni uchafu upi ninaoweza kuuvunja?
  4. U

    Msaada wa namna ya kufungua mfuniko huu!

    Naomba ufafanuzi zaidi bado sijakupata vizuri
  5. U

    Msaada wa namna ya kufungua mfuniko huu!

    Wanajf ninaomba mnisaidie kwa anayejua,namna ya kufungua mfuniko huu wa chemba inayotoka chooni!Choo kimejaa maji nataka nizibue.
  6. U

    Kupasuka mdomoni

    Nashukuru sana,lakini hivyo vyakula ninavitumia,sema ukifika msimu wa baridi inatokea sana
  7. U

    Kupasuka mdomoni

    Nakushukuru sana!
  8. U

    Kupasuka mdomoni

    Naomba ushauri zaidi!Ni mafuta aina gani yanafaa?
  9. U

    Kupasuka mdomoni

    WanaJF habarini za leo!Ninaomba mwenye kujua huu ugonjwa wa kupasuka sehemu za mdomoni unatibiwaje naomba msaada!Mdomo unajichana na kutoa damu hasa kipindi hiki cha baridi!!!MSAADA TAFADHALI!!!
  10. U

    ANAYEJUA HAYA YAFUATAYO NINAOMBA UFAFANUZI!!!

    Nashukuru Sana!Nitaufanyia kazi huu ushauri
  11. U

    ANAYEJUA HAYA YAFUATAYO NINAOMBA UFAFANUZI!!!

    Namna ya kufungua na kumiliki akaunti benki kuu ya Tanzania ,namna ya kununua na kumiliki bondi ,faida zake nakadhalika!Nimeuliza hivi kwa sababu ninataka nimshauri kaka yangu afanye nini hasa akijiandaa kustaafu kazi ndani ya miaka 5 ijayo
  12. U

    Je kifaa hiki kinafaa kwa jiko la umeme?

    Asante kwa ushauri nitaufanyia kazi
  13. U

    Mungu wa kikristo na Mungu wa Waislamu ni huyu moja anitwa "Allah" hata kwenye biblia ya kiarabu yumo

    Hapa kuna mambo ya msingi ya kuelewa!Iko hivi,kama ulivyonukuu Mwanzo 1:1 aliyeumba vitu vyote na sisi tukiwemo ni Mungu ila linapokuja suala la kuabudu kila mtu amechukua uelekeo wake!Mkristo anayeenda kanisani siku ya Jumapili anamwabudu Mungu utatu,huyu nitofauti na anayeabudiwa misikitini na...
  14. U

    Je kifaa hiki kinafaa kwa jiko la umeme?

    Nashukuru sana mkuu!Nimegundua kuna shida kubwa sana huko vyuoni ,wanafunzi wana uelewa mdogo
  15. U

    Je kifaa hiki kinafaa kwa jiko la umeme?

    Asante sana MKUU!!🙏
Back
Top Bottom