WanaJF habarini za leo!Ninaomba mwenye kujua huu ugonjwa wa kupasuka sehemu za mdomoni unatibiwaje naomba msaada!Mdomo unajichana na kutoa damu hasa kipindi hiki cha baridi!!!MSAADA TAFADHALI!!!
Namna ya kufungua na kumiliki akaunti benki kuu ya Tanzania ,namna ya kununua na kumiliki bondi ,faida zake nakadhalika!Nimeuliza hivi kwa sababu ninataka nimshauri kaka yangu afanye nini hasa akijiandaa kustaafu kazi ndani ya miaka 5 ijayo
Hapa kuna mambo ya msingi ya kuelewa!Iko hivi,kama ulivyonukuu Mwanzo 1:1 aliyeumba vitu vyote na sisi tukiwemo ni Mungu ila linapokuja suala la kuabudu kila mtu amechukua uelekeo wake!Mkristo anayeenda kanisani siku ya Jumapili anamwabudu Mungu utatu,huyu nitofauti na anayeabudiwa misikitini na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.