Iko hivi,kuna uwezekano mkubwa huyu jamaa amefanya hivyo kwa makusudi!Kwa sababu hata upande wake mawe yaliyowekwa na aridhi alishayatoa.Tumejikuta tuna fika hadi hapo kwake kwa kutumia mawe yaliyo kwenye viwanja vyetu.Kilichonishtua ni kwamba aliwahi nitumia meseji akidai anafikiria atuhamishie...
Habari ya leo wanajf!
Naombeni ushauri wa namna ya kukabiliana na changamoto hii ya aridhi kwa busara na kwa amani. Mimi na mwenzangu tulinunua viwanja sehemu moja iliyopimwa, kwa hiyo ni viwanja halali na vina hati.
Changamoto iliyojitokeza ni kwamba alitokea bwana mmoja akawahi kujenga...
Ni sawa!Lakini kumbuka chochote binadamu anachokifanya kinaenda na muda!Kuna muda wa kupoteza na muda wa kupata kikubwa ni kujiandaa kifedha na kisaikolojia!!Mkulima anayeenda kulima mazao yake,mvua ikagoma asivune chochote na akapata hasara mazima Je alikosea kulima?Hapana.Ndiyo maana ninasema...
Asante sana kwa ushauri ninauchukua ili nianze kuufanyia kazi!Ninachokuomba ni namna ya kuifahamu benki yenye mkono wa serikali na watu,hapo ndiyo ningeomba unielimishe zaidi kama hutojari!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.