kwani hujui Dr kebwe ni waziri hivyo anawahudumia watanzania wote? Hapo Serengeti kuna ofisi ya naibu waziri wa afya? Pambanua mambo kama kiongozi. Siyo unaandika ushabiki unajidhaulisha
Ni kweli wewe unaipenda nchi yako. Yakitokea machafuko haohao ndiyo wa kulaumu usalama wa taifa. Hata mbuyu ulianza kama mchicha. USA walimdharau mhabarishaji kwamba ni kichaa jengo kuu la kitega uchumi likalipuliwa. Nchi kwanza vyama baadae. Bila nchi hakuna vyama.
Longo longo pro muhongo siyo asili yake. kumshauri aende kivukoni kusoma siasa ni kumwambia aende kusoma longo longo. Mzee huyu haangalii sura wala chama. Ulivyokuja ndivyo atakavyokujibu. Kutaka kuonyesha matokeo ya mh Sendeka nayo ni sawa maana alitaka kuonyosha uelewa wa mtu huyo. tuwe...
Nadhani mbilinyi amenunuliwa ili kuweka chunvi ktk kidonda. Kwani kwa kauli hiyo mbilinyi hajengi bali anabomoa. Anaonyesha wazi kwamba hata upinzani nao kumbe wanapiga dili. Hivyo kelele zao ni sababu hawajahusishwa. Na wakihusishwa ni washiki wazuri. Haya yetu macho
huna sababu ya kuyakashifu magazeti hayo. Cha msingi kwa statent hiyo ni kujiuliza kama kweli prof Lipumba ameyasema hayo maneno. Au kufanya utafiti wa kubaini kuwa kweli kauli hiyo imetamkwa popote na prof lipumba au viongozi baadhi toka cdm. nje ya hapo wewe huna tofauti na hayo magazeti...
Rais siyo mwenyekiti wa kitongoji. Ili atoe tamko razima uchunguzi wa jambo analolitolea tamko liwe limehakikiwa na wataalam husika. Hivyo kuna sababu za msingi kutoa tamko kwa mda aliotoa tamko. Mengineyo ni mawazo yako kutokana na uelewa wako.
sipendi saana kishabikia siasa. Lkn Muhongo ukimlinganisha na waliyomtangulia yeye ana nafuu kidogo. Na kwa sababu ameridhi matatizo isingewezekaka kuyaondoa mara moja .Some how amejitahidi.
hapo hapo pa nani awe nani ndiyo vurugu itaanzia. Kwani hata maoni yako ni chanzo cha vurugu. wengi uliyowataja ni cdm Hivyo ratio itaanzisha vurugu. Rais na makamu wote wanatoka bara nayo ni vurugu. Zito hana mahusiano mazuri na wakubwa akiitwa msaliti nayo ni vurugu. Lipunba ana elimu zaidi...
kwako wewe kipaombele ni pesa!!! kwa mjibu wa swali lako utasumbua sana wana wa nchi kuomba rushwa ili ukidhi matakwa yako. na utachafua sura ya jeshi bora ujiunge na waendesha bodaboda maana wateja wako mnakubaliana kabla ya malipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.