Je unahitaji spares za magari haya:
BMW
Mercedes Benz
VW
Scania
Volvo
na mengine mengi ambayo spare zake si rahisi kupatikana? Kama unahitaji nitumie PM na utazipata mapema iwezekanavyo.
Kwani anayeweza kutoa ticket ni mmoja tu? Lazima pawe na ushindani, anayetoa huduma mbaya asipewe kazi hiyo. Ni nani anasimami huduma za kuangalia kuwa abiria wanalipia? hayo yote ni mambo ya msingi ya kuzingatiwa.
Tunawahitaji watu kama Nape katika CCM kwani wanatupa zaidi changamoto ya kutaka kuiondoa CCM madarakani. Kila mara ninaposoma anayoyaandika huyu, ndipo dhamira yangu ya kuona kuwa CCM haitawali tena inaongezeka...na tupo wengi!
Ni vizuri kujua hayo, lakini sijaelewa ni jinsi gani hawa wamefikia mpaka wakawa na sifa hizo ulizozitaja. Unaweza kufafanua zaidi? Binafsi naona mambo mengi waliyoyasema yameonekana kuwa ni kweli. Walianza kuongelea ufisadi wa EPA, Richmond, Kigoda, Meremeta, Kiwira na mengine mengi. Unataka...
Hapo nakuunga mkono. Mimi nadhani kwa sasa hivi wananchi wanahitaji kusikia ni jinsi gani mafisadi hasa waliopo ndani ya CCM wanavyoshughulikiwa, vile vile namna ya kukabili matatizo ya wananchi. Kuongelea kuwa ni nani ana kadi ya ccm au nani hama hakusaidii lolote maana ni Watanzania wengi tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.