samoramsouth
Senior Member
- Jan 16, 2011
- 191
- 30
Hana jipya, adala yakujibu hoj anakwepa
LAT,
Fuatilia historia yangu si mtu wa kupotezea huwa najibu kile ninachokijua na kuamini. Mpaka nikaingia humu kwa jina langu inatosha kukwambia mie mtu wa namna gani.....
Hivi leo inahitaji elimu gani kujua kwanini Porokwa anasema aliyosema? nani tuchukue kauli yake? Aliyeanzisha chama mwenyekiti wa CCJ au Porokwa anayedai alishawishiwa akakataa? Ndo maana nikauliza tuendelee kujadili sarakasi za watuhumiwa wa ufisadi au jinsi rasilimali za nchi zitakavyotumika kuondoa matatizo yetu?
Aaah baada ya kupata kama simu ya nane toka kwa waandishi wa habari juu ya sarakasi za watuhumiwa wa ufisadi(hasa hoja ya CCJ) nikajiuliza, tuzungumzie ufisadi ambao kimsingi ni namna rasilimali za nchi yetu zinavyotumika katika kushughulikia matatizo ya wananchi au nasi tucheze sarakasi hizi?