Ila mandamano ya kumpongeza raisi ni halali kwa ccm ila kwa vya upinzani ni vurugu.
na wizi.
ukweli serikali ndio inaipa nguvu chadema na umarufu kwa mbowe.
jiulize swali kesi ya mashehe ili ishia wapi! Je walikuwa magaidi kweli ndivyo kesi ya mbowe itakavyo kuwa.
hamna jipya ccm ndio...
Napendekeza na tasisi nyingine zijitokeze kudai katiba mpya.
Tuelimishane kwenye vijiwe vya bodaboda,bajaji,machinga kunasiku wataelewa tu
umuhimu wa katiba mpya.
chama kimoja kinatuchagulia watu inayowataka wao na sio tunao wataka sisi.
Wenyewe wanashangaa wameshika je madaraka?wanashangaa tozo kuwaumiza wanannchi,wanashangaa mafuta kupanda bei wanashangaa gesi kupanda bei kila kitu kushangaa hata katiba mpya watu wanapoidai bado wanashangaa kila kitu kushangaaa serikali ya kushangaa .Uwauliza swala la ajira kwa vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.