Balozi Dkt. Slaa na siasa za 2025 na kuendelea

Ng'wanamangilingili

JF-Expert Member
Aug 22, 2015
5,705
4,739
Inaelekea ukaonekana ni uzi wa ambao ni ngumu kuuelewa kama lilivyo lile neno refu kuliko yote la lugha ya kimalkia yaani Pneumonoultramicroscopicsilicovolcanoconiosi. Nina iangalia kwa kuichungulia 2025 kuelekea mbio za urais, na balozi dkt w.slaa anaweza akaja kivingine na kuushangaza umma wa watanzania.

Sasa ni chama gani?! embu twende taratibu, huyu mwanasiasa mjanja mjanja na smart kabisa hakuna sehemu aliwahi rejesha ama kuikabidhi kadi yake ya CCM wala CHADEMA public hata baada ya kuikimbia CCM miaka ile na hata baada ya kumkimbia fisadi papa ENL alipoletwa CDM 2015 na Slaa akachomoka chamani, vilevile hata baada ya kuteuliwa kuwa balozi na aliyekua rais wa JMT Hayati JPM, hakuna pahala Slaa alisema sasa kahama CDM na kurudi CCM. Kwa hiyo ana bunduki mbili mkononi hapo ya CCM na CDM. Slaa alimheshimu sana Magu na kwa sasa hayupo tena naona sasa yuko huru.

Vyovyote vile hata angehama haina shobo kwani ndio maisha ya mwanasiasa yeyote. Sasa basi, twende pamoja...kwanza kumuweka kuwa balozi nchi za scandnavia ni kumjenga kisiasa, hatujui anakutana na akina nani nanani huko...,PILI; Slaa bado ni mtulivu mno na bila shaka ndiye mpinzani aliyeipaisha CHADEMA na upinzani kipindi kile na kuifanya kujulikana nchi nzima, alikua katibu machachari sana na CDM hawajawahi kupata mbadala wake kamwe.

TATU; Ni mpinzani mkubwa pekee mwenye misimamo na ambaye amejitahidi kuweka clean sheet na tofauti yake na Lissu ni utulivu na mihemko ila kama ni uwanjani wote ni viungo wachezeshaji ingawa mmoja anakaba zaidi anapanda na kushuka, yaani anakabia kwenye robo ya adui. Slaa kama ni bado ana mtaji wa kisiasa ndani ya mioyo ya watanzaia wengi.

Sasa, nikiangalia hisabati za siasa za probability na calcus Slaa kama bado ana nia anaweza kuwa mbadala mkubwa zaidi wa kuchangamsha genge 2025. Wengi mtajiuliza chama gani? Ni hivi; Slaa anaweza akaanzisha chama kipya cha upinzani na ndani ya miaka miwili ya mwisho au mmoja kuelekea 2025 kikashika kasi (ingawa hii option nina ilay down kwa sababu watanzania sikama wakenya kwenye kupokea chama au muungano mpya ambapo wenyewe hata kuna miezi miwili kaba ya uchaguzi wanakiwasha na raia/wapiga kura wanawaelewa---they are well infromed), mbadala ninaouna ni kupitia vyama viwili na cha tatu cha mkopo ama hata shirikisho lisilo rasmi.

Options ya kwanza ni balozi dkt slaa ni kupitia CCM (kiaje kiaje usiniulize) ya pili ni kupitia CHADEMA (wakimbembeleza sana) ya tatu ni kupitia kwa Mzee wa kutafuta mitaji ya kisiasa ACT - Wazalendo ya Bwana ZZK (hapa atakua mjanja sana kwa sababu sidhani huyu mwana theolojia mwenzangu atakubali awe na mwisho wa Membe) ama Wapinzani wake waje nma kashirikisho kao wamsimamishe (ingawa sheria zimebana sana baada ya kufanyiwa mabadiliko)

NB: Mwanasiasa yeyote huwa hastaafu siasa bali anapumzikaga tu kuvuta pumzi.
 
Slaa umri umekwenda lakini ni mtu makini kuwahi kutokea upinzani na alibahatika watanzania kumuelewa na kumkubali ukiachili akina Chacha zakayo Wangwe na mrema.

Game la chase linasema 2030 ndio SSH atabwaga manyanga japo hilo halizuii wahafidhina ndani ya Ccm kujaribu kutaka demokrasia zaidi ya kumchallenge na hili lilianzishwa na Membe makusudi kabisa ili lizoeleke la kupeana competition ndani ya chama.

Tuvumilie na tumuombee Raisi wetu ajenge uchumi wa bluu na kijani na njano na atuongoze salama. Tumuombe mungu ampe ufahamu zaidi ili aweze kutoa maamuzi sahihi kwa mustakabali wa taifa letu. Baba wa mbinguni kamguse bwana yule ambaye ana jukumu la kumshauri Mama awe na mawazo chanya ya kutupeleka mbele na sio kuumiza wengine. Amen
 
Slaa umri umekwenda lakini ni mtu makini kuwahi kutokea upinzani na alibahatika watanzania kumuelewa na kumkubali ukiachili akina Chacha zakayo Wangwe na mrema.

Game la chase linasema 2030 ndio SSH atabwaga manyanga japo hilo halizuii wahafidhina ndani ya Ccm kujaribu kutaka demokrasia zaidi ya kumchallenge na hili lilianzishwa na Membe makusudi kabisa ili lizoeleke la kupeana competition ndani ya chama.

Tuvumilie na tumuombee Raisi wetu ajenge uchumi wa bluu na kijani na njano na atuongoze salama. Tumuombe mungu ampe ufahamu zaidi ili aweze kutoa maamuzi sahihi kwa mustakabali wa taifa letu. Baba wa mbinguni kamguse bwana yule ambaye ana jukumu la kumshauri Mama awe na mawazo chanya ya kutupeleka mbele na sio kuumiza wengine. Amen
Huyu hawezi kujenga uchumi wowote hata wa kijivu.

Anasubiri muda wa uchaguzi tu.
 
U
Slaa umri umekwenda lakini ni mtu makini kuwahi kutokea upinzani na alibahatika watanzania kumuelewa na kumkubali ukiachili akina Chacha zakayo Wangwe na mrema.

Game la chase linasema 2030 ndio SSH atabwaga manyanga japo hilo halizuii wahafidhina ndani ya Ccm kujaribu kutaka demokrasia zaidi ya kumchallenge na hili lilianzishwa na Membe makusudi kabisa ili lizoeleke la kupeana competition ndani ya chama.

Tuvumilie na tumuombee Raisi wetu ajenge uchumi wa bluu na kijani na njano na atuongoze salama. Tumuombe mungu ampe ufahamu zaidi ili aweze kutoa maamuzi sahihi kwa mustakabali wa taifa letu. Baba wa mbinguni kamguse bwana yule ambaye ana jukumu la kumshauri Mama awe na mawazo chanya ya kutupeleka mbele na kuumiza wengine. Amen
Unazijua fitina za CCM uchaguzi ukikaribia?
Kikwete aliimbiwa tuna imaani na Lowassa oyaaaaa oyaaaa oyaaa,uso kwa uso.Tena wakiwepo madikteta akina Mkapa.

Je mama yetu anao uwezo huo wa kukabiliana na Hilo?
 
Siasa zake zimepitawa na wakati sasa hivi ndio chadema kweli kila wakati kulala nyuma ya nondo kama raisi aliye pita zambia.
 
Niliwahi kusema kuwa utafika wakati watu watamheshimu slaa sana.
Alisimamia maneno yake kuw EL ni fisadi daima
 
Slaa umri umekwenda lakini ni mtu makini kuwahi kutokea upinzani na alibahatika watanzania kumuelewa na kumkubali ukiachili akina Chacha zakayo Wangwe na mrema.

Game la chase linasema 2030 ndio SSH atabwaga manyanga japo hilo halizuii wahafidhina ndani ya Ccm kujaribu kutaka demokrasia zaidi ya kumchallenge na hili lilianzishwa na Membe makusudi kabisa ili lizoeleke la kupeana competition ndani ya chama.

Tuvumilie na tumuombee Raisi wetu ajenge uchumi wa bluu na kijani na njano na atuongoze salama. Tumuombe mungu ampe ufahamu zaidi ili aweze kutoa maamuzi sahihi kwa mustakabali wa taifa letu. Baba wa mbinguni kamguse bwana yule ambaye ana jukumu la kumshauri Mama awe na mawazo chanya ya kutupeleka mbele na sio kuumiza wengine. Amen
Mchezo ukienda ivo basi atakua na bahati y mtende sana kuwa raisi wa kwanza ndani ya CCM bila kupambana na kura za maoni za wajumbe wa mkutano mkuu bila ya kuwa na wapinzani wake ndani ya chama waliochukua fomu pamoja. Naona amsha amsha ya demokrasia ndani ya chama itapungua sana. Nahisi kunaeza kukawa na bosheni ili ku legitimize mchakato.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom