#COVID19 Spika Ndugai na Bunge lake waliwakebehi CHADEMA walipojitenga kuchukua tahadhari ya kuzuia COVID-19, leo analazimisha wabunge wachanjwe?

Nakumbuka mwaka 2020 baadhi ya wanunge wa CHADEMA wakiongozwa na Freeman Mbowe walipojitenga kuzuia maambukizi ya virusi vya UVIKO-19.

Ndugai pamoja na wabunge wenzake wa CCM waliwakebehi kwa maneno ya kuudhi sana. Kipindi cha Faru John wote walikuwa wanafuata upepo wa Faru John ili mikono iende kinywani, leo Faru John hayupo, kila mwana CCM anaimba pambio ya chanjo.

Hakika tatizo kubwa na namba moja ya Tanzania ni fikra za kinafiki zinazoendelewa na ma CCM.

Hoja ya Katiba mpya haikwepeki.
Ukishangaa hilo kuna hili
JamiiForums-215145419.jpg
 
Nakumbuka mwaka 2020 baadhi ya wanunge wa CHADEMA wakiongozwa na Freeman Mbowe walipojitenga kuzuia maambukizi ya virusi vya UVIKO-19.

Ndugai pamoja na wabunge wenzake wa CCM waliwakebehi kwa maneno ya kuudhi sana. Kipindi cha Faru John wote walikuwa wanafuata upepo wa Faru John ili mikono iende kinywani, leo Faru John hayupo, kila mwana CCM anaimba pambio ya chanjo.

Hakika tatizo kubwa na namba moja ya Tanzania ni fikra za kinafiki zinazoendelewa na ma CCM.

Hoja ya Katiba mpya haikwepeki.
Wapinzani huwa wanaona mbali kuliko wabunge wa ccm.
 
YUKO SAWA💯%💪🇹🇿👍
"Only Stupid People Don't Change Their Minds"..😷😷.. Boutros Boutros-Ghali
Former Secretary-General of the United Nations
 
Spika Ndugai huwa hakubaliani na chochote wanachosema wapinzani hata kama ni kwa maslahi mapana ya Taifa.Anaongoza bunge kwa kuegamia upande tofauti na watangulizi wake ambao walikuwa wana-balance.

Ni mpuuzi sana
 
Spika ubavu huo Hana wa kulazimisha mbunge yeyote kuchanja ni.kanuni za bunge zinazotakuwa kuridhiwa na bunge na si lazima kuchanja zaweza tumika tu method za social distance bungeni na barakoa Kwisha

Hiyo michanjo ikabaki hiari atakaye sawa asiyetaka sawa ila ndani Ni social distance tu .

Kama wakati wa Magufuli alikuwa anawalazimisha kuwa hakuna corona na wakatii ule ujinga, sasa hivi kipi kitawafanya wachwe kuchanjwa bila ridhaa yao? Ukishaamua kupigania tumbo huwezi kuwa huru.

Haya mambo yanayofanywa na viongozi kipindi hiki ukifananisha na waliyokuwa wanafanya kipindi cha Magufuli, ndio utajua wazungu wako sahihi kutuita manyani.
 
Nakumbuka mwaka 2020 baadhi ya wanunge wa CHADEMA wakiongozwa na Freeman Mbowe walipojitenga kuzuia maambukizi ya virusi vya UVIKO-19.

Ndugai pamoja na wabunge wenzake wa CCM waliwakebehi kwa maneno ya kuudhi sana. Kipindi cha Faru John wote walikuwa wanafuata upepo wa Faru John ili mikono iende kinywani, leo Faru John hayupo, kila mwana CCM anaimba pambio ya chanjo.

Hakika tatizo kubwa na namba moja ya Tanzania ni fikra za kinafiki zinazoendelewa na ma CCM.

Hoja ya Katiba mpya haikwepeki.
CCM is no longer rational but irrational. "Wao ili mradi mkono uende kinywani".
 
Hapa ndio umuhimu wa katiba mpya unapoonekana.
ili mawaziri wasiwe wanatokana na wanasiasa bali wajiriwe kulingana profesion zao.
 
Spika ubavu huo Hana wa kulazimisha mbunge yeyote kuchanja ni.kanuni za bunge zinazotakuwa kuridhiwa na bunge na si lazima kuchanja zaweza tumika tu method za social distance bungeni na barakoa Kwisha

Hiyo michanjo ikabaki hiari atakaye sawa asiyetaka sawa ila ndani Ni social distance tu .
Fikra zako ni nyepesi mno. Subiri utaona. Ni chanjo kwenda mbele. Kanuni za bunge zinabadirika kutokana na mazingira. Nawe jiandae kuchanjwa bila kutaka. Ni suala la mda tu.
 
Spika ubavu huo Hana wa kulazimisha mbunge yeyote kuchanja ni.kanuni za bunge zinazotakuwa kuridhiwa na bunge na si lazima kuchanja zaweza tumika tu method za social distance bungeni na barakoa Kwisha

Hiyo michanjo ikabaki hiari atakaye sawa asiyetaka sawa ila ndani Ni social distance tu .
Ndugai hashindwi kitu akiamua broo inategemea muhimili wa serikali utamuambia nini
 
Hana tofauti CDM ambao walimtukana Lowassa miaka 10 baadaye wakampokea na kumdekia barabara, pamoja na kumtandikia kanga chini ili asikanyage vumbi. Wote wanafiki wakubwa
 
Bora wachanjwe wafe tu maana hawana mchango wowote katika nchi hii zaidi ya kutufirisi na mav8 unayajua mav8 wewe.
 
Back
Top Bottom