Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Unauliza nini?Hivi waliyovamia duka ni TAASISI ya Mkuu wa Wilaya, waliokuwa wametumwa na TAASISI ya uRais?
Unauliza nini?Hivi waliyovamia duka ni TAASISI ya Mkuu wa Wilaya, waliokuwa wametumwa na TAASISI ya uRais?
Hujui kusoma? Kamtafute Msukuma akusomeeUnauliza nini?
Paka wa Lumumba hawaelewi hilo. Wame brain storm jana ndiyo wamekuja na huo uzi kumsafisha mtu.Stupid, the ultimate responsibility rests on Rais. Unawajibika kwa atrocities za waliochini yako.
Kazi aliyo tumwa Sabaya amekwisha imaliza, hongera Mbunge wa Hai, Waziri mkuu mtarajiwa. Politics at its worst. Spinning Doctors are sweeping the floor for and against.Kwahiyo unataka kusema kwa matukio yaliyokuwa yakitokea kuna namna jiwe anaweza kutokuhusika au alikua hafahamu?
Kwani anayeteua DC na RC ni nani?
Orders wanachukua wapi??
Ndio maana tunahitaji katiba mpya, haya mambo huchagizwa kutokana na hisani hizi mtu anaokotwa huko na kupewa ofisi inayomzidi kila kitu!
Tunajitaji katiba mpya na huu uDc aidha ufutwe au iwepo uwanja wa ushindani huru kwa hawa watu kugombea na kufanyiwa usahili wa kina kabla ya kupewa ofisi
Hili mbwiga siku hizi limekuwa la ovyo sanaKuna wakati nashindwa kukuelewa.
Labda ni wapi Chadema wameitisha Press conference na kusema ulichosema?
Sio lazima kila siku uanzishe uzi hapa JF, kesi iliyoko mahakamani aikupelekwa na Chadema.
Kwahiyo kwenye kumtuma Sabaya,na Samia alihusika?Watu hujenga taasisi siyo mtu.
Ndio maana Tundu Lissu alikuwa na Salumu Mwalimu!
Kumbe gazeti la mwananchi ni la chadema! Leo ndiyo nimejua!Nawakumbusha tu CHADEMA wasimlishe maneno mtuhumiwa Ole Sabaya kwamba amekiri kutumwa na Hayati Magufuli kufanya yale anayoshtakiwa kuyafanya.
Ole Sabaya ameitaja mamlaka ya uteuzi ambayo ni Rais, lakini tusisahau kuwa Rais ni taasisi
Mungu ni mwema wakati wote!
Kwani aliyemteua ni W/Mkuu, Spika au Jaji Mkuu?? Yaani Mamlaka ya Uteuzi hapa tunazungumzia nani hasa au ni CHADEMA?Nawakumbusha tu CHADEMA wasimlishe maneno mtuhumiwa Ole Sabaya kwamba amekiri kutumwa na Hayati Magufuli kufanya yale anayoshtakiwa kuyafanya.
Ole Sabaya ameitaja mamlaka ya uteuzi ambayo ni Rais, lakini tusisahau kuwa Rais ni taasisi
Mungu ni mwema wakati wote!
Pumbavu! Kamuulize mama yako nani anamkuna uchi wake!Baba yako aliekuwa anachukua mishahara ya watumishi hewa hakuwa jambazi ila aliyemfukuza kazi !!
Baba uwe wewe, wakati jamaa wameisha zibua mfereji wa Suez ? Yanatiririka tuPumbavu! Kamuulize mama yako nani anamkuna uchi wake!
Shika adabu wewe mtoto mimi ni baba yako mzazi!
Ni kweli wakati namtafuta mama yako nilikuta ameshazibuliwa kote kote, hata hivyo sikujali mpaka ukapatikana!Baba uwe wewe, wakati jamaa wameisha zibua mfereji wa Suez ? Yanatiririka tu
Yaani ile napata akili vyema nakuta na baba choko kama wewe, fasta ningekutafutia jamaa kama kumi wanakukorokocha mpaka unakufa.Ni kweli wakati namtafuta mama yako nilikuta ameshazibuliwa kote kote, hata hivyo sikujali mpaka ukapatikana!
😁😁😁 Shika adabu zako wee mtoto!Yaani ile napata akili vyema nakuta na baba choko kama wewe, fasta ningekutafutia jamaa kama kumi wanakukorokocha mpaka unakufa.
Anaandika kama amekalia kitu kigumu chenye ncha butuSiku hizi unaandika vitu huku JF kama mtu aliechanganyikiwa.Hii ni chadema?
View attachment 1894780
Duh. Taasisi za “hapa kazi tu”!Hivi waliyovamia duka ni TAASISI ya Mkuu wa Wilaya, waliokuwa wametumwa na TAASISI ya uRais?
Wewe dada kila ukiwa kwenye deiz zako lazima uitaje Chadema,hii imekaaje?Nawakumbusha tu CHADEMA wasimlishe maneno mtuhumiwa Ole Sabaya kwamba amekiri kutumwa na Hayati Magufuli kufanya yale anayoshtakiwa kuyafanya.
Ole Sabaya ameitaja mamlaka ya uteuzi ambayo ni Rais, lakini tusisahau kuwa Rais ni taasisi
Mungu ni mwema wakati wote!