Unashauriwa usianze kufanya biashara yoyote bila ya kuijua vizuri au kufanya utafiti, nakushauri nenda Chuo cha CBE au Chuo kikuu cha Dsm kitebgo cha Biashara watajua jinsi ya kukusaidia wanakozi zote kuanzia za watu waliomaliza la 7 hadi degree!
Jifunze kufanya kazi na wataalam wa ushauri wa kodi (Tax consultants) watakusaidia sana, hata mimi nilikuwa na matatizo hayo sana lakini kwa sasa yamekwisha, siku TRA wakija ofisini basi nainua simu namwita mtaalam wangu anakuja kuongea nao.
Kodi ina vipengele vingi sana huwezi kuvijua vyote, ni...
Brother ndoa haijaribiwi, kama huyo mdada ameanza kukosa uaminifu kabla ya ndoa mshukuru Mungu kuwa amekuonyesha tabia kabla hujaoa, kaza moyo piga chini, chukua mshenga wako na baadhi ya wazee wako uwaeleze kisha watawajulisha upande wa mke kuwa hamna ndoa, kuna wakati kwenye maisha unatakiwa...
Hili tangazo limechelewa sana, nashauri pia watangaze kubatilisha ndoa zilizofungwa huku maharusi walifichana kama vile hawajazaa wakati tayari walishakuwa na watoto kabla ya ndoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.