Hapo umepotosha, toa mifano ilio hai.... mkoa mzma Mtu anaeongoza ana B? Anyway nipo Singida na shule niliosoma mm wanafunzi darasa zima wamepata A. Hiyo Singida unayosema ww labda ya Malawi au Zimbabwe.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
unapotoa mada kama hizi inabida uwe na ushahidi sio kukurupuka tu, unataka kuniambia walioajiriwa NSSF ni waislamu pekee? hii kitu haingii akilini kwa mtu mwenye kufikiri kwa kina. Udini unauanzisha wewe.....................................
Naombeni kdogo maoni yenu juu ya hili,
Tcu wanaonesha nimechaguliwa chuo cha MZUMBE (BECA), Lakini majina waliyotoa MZUMBE jinalangu halipo.. Hapo kuna tatizogani?
Kwangu wameniandikia selected, lakini wamesema majina wameyapeleka chuo husika kwa uhakiki... Baada ya hapo wataweka confirmation kama chuo hucka wamekukubali au wamekuacha
Nacte sasa imeanza kuonesha uhai kwa wanafunzi wa diploma baada ya sintofahamu kwa muda mrefu... Unaweza kuingia kwenye profile yako ukaona mabadiliko waliyoyafanya..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.