Angalia mienendo yako ktk chama huwezi kukatwa from no where refer wewe Mkono ulikuwa na team ya Zito Kabwe na ulikuwa unapinga kufukuzwa kwake CDM sijaona sehemu yoyote ile uliyokuja kukiomba chama msamaha.Nawasilisha
huyu jamaa si ndo anatuuma za kuzini na mtoto wa form one shule ya Karaseco?na kesi ipo mahakamani,Pia inasemekana huyu jamaa aliuza jimbo mwaka 2010 kwa CCM na pia huyu jamaa nnauhakika alikuwa na timu ya Zito ya kuisaliti CDM aende tu Prince anafaa sana huwezi kumlinganisha na huyu kiazi
Salaam,
Nahisi ili jambo linahitaji ushauri .
Kuna binti mmoja ninampenda, Nilianza kufahamiana naye miaka 5 iliyopita wakati tupo chuoni.
Alionekana kama future wife kwa jinsi nilivyokuwa namwona the way alivyokuwa anajiweka, mcha mungu sana hana company za kijinga kijinga kweli niliona...
Kuna ngoma moja ya West Life siijui jina lake yaani ikipigwa radioni huwa nasikia mapigo yangu ya moyo yanaenda kasi Sana nimejaribu kuzigoogle nyimbo zote walizoimba ila sijafanikiwa kuupata.
Pia kuna wimbo wa Wako Jacko unaitwa Liberian Girl jamani haka kasongi huwa kananikoshaga
EL jiripue CCM sio baba yako wala mama yako kama wamekukataa wao sisi huku UKAWA tunakuhitaji na nadhani utakuwa salama ukiwa nje ya CCM kuliko kuwa ndani yake.
Kwa wazoefu wa stationery naomba uzoefu hasa wa photocopy machine nzuri (mpya) na nzuri zinauzwa wapi hapa dar na bei zake zinakuwa bei gani nahitaji heavy duty
Bikra mwachie Maria na Yusuf waliobaki ni usanii mtupu kuna kademu nakafukuzia mwaka sasa unapita nikijaribu kukaomba papuchi kanadai ni kabikira, ila matendo yake hayasignify bikra yake kwa sababu kanapenda sana kuomba pesa nipo nakavutia kasi kakijichanganya kakavua chupi na hyo bikra...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.