Recent content by ukondamoyo

  1. ukondamoyo

    Profesa Lipumba akutana na waandishi wa habari kukanusha kuhusu kuitishwa kwa baraza kuu Zanzibar

    Pole sana kwa uongo Sent using Jamii Forums mobile app
  2. ukondamoyo

    Hapa kazi tu lakini tunavuruga kazi za wengine

    Mbya zaidi ndiyo hali ya uchumi nchini inapolomoka
  3. ukondamoyo

    Kuzaliwa mjini mshukru sana mzazi, kwani darasani unaenda kuongeza kili tu za ziada

    Lasaba wa mjini ni sawa na for four wa kijijini
  4. ukondamoyo

    Mustakabali wa ufisadi, Richmond na usalama wa aliyekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa

    Pole sana mleta maada kwan ridhiwani pesa alizo nazo kazipata wapi ....Uchwara hizo hoteli alizo nazo alipata kabla ya kua.....Nakuomba utuachie Rais wa moyo wetu
  5. ukondamoyo

    Vyombo vya habari vya Tanzania vinaongoza kwa uongo dunia

    Wameogopa moto wa vijana wa bavicha
  6. ukondamoyo

    Kabadili gia angani JPM

    Mheshimiwa Raisi ameamua kugeukia upande wa dini ili kuendelea kukonga mioyo ya wananchi baada ya kuona wananchi kukata tamaa na tumbuatumbua ambayo wananchi waliamini ingekua mkombozi wa maisha lakini imekua kinyume chake .Lakini ningependa kushauli upande huu wa dini ni hatari sana kwa...
  7. ukondamoyo

    Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

    Watu wengi huangaika kupata pesa kwa tabu lakini kuna nguvu ya kichawi huwarudisha nyuma hii inatokana na mchawi kutumia muujiza wake wa chuma ulete.Hebu tupeane maufundi hayo.
  8. ukondamoyo

    Mujiza wa mchawi

    Mujiza ni kutenda jambo ambalo ni kinyume ya utalatibu wa kawaida yani hutumia nguvu ya ziada .Mujiza huu wa mchawi hujulikana kama chuma ulete.Hebutupeane maufundi kufanya miujiza huu¿
  9. ukondamoyo

    Lowassa na TB Joshua?

    Kachukue buku saba lummba fasta.
  10. ukondamoyo

    Hivi kwani ni Lazima Lowassa asikike kwenye media kila mara?

    mwache raisi wetu ,tena mm kilaninapo sikia kasema kitu moyo wangu unafalijika sana
Back
Top Bottom