Mi nlivunja ungo nikiwa mdogo sana,sasa mama alinidanganya,nikisex tu,eti yeye atakufa,na nikicheza na wavulana ntapata mimba,na kila nkiingia mwezini nmwambie,nsipomwambia yeye atakufa,basi kwa ujinga wangu ,nikawa naogopa sana mama angu kufa,nikawa sichez na boys,kila mwez nampa maza ripot ya...