Punguani mwingine asiyejitambua. Mnapigia kelele mkopo uliofuata taratibu zote wakati matrilioni yanayoibiwa na wezi ndani ya Serikali mnajifanya hamyajui.
Dah! Kwanza wanashughulikia umaskini wao kama viongozi kwa kufanya ufisadi, sijui itachukua miaka mingapi ili wahakikishe wao kama viongozi si maskini tena, kisha ndiyo washughulikie matatizo ya Watanzania! Kazi kweli kweli! Itakuwa vyema sana kama CHADEMA wakiichukua hii na kuitengenezea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.