Recent content by Uhakika Bro

  1. Uhakika Bro

    Hakika sijutii kununua pikipiki aina ya boxer 150(bm150)

    Tangu helment yangu ya kwanza ya alfu 15 ikatike mkanda bila purukushani yoyote sinunui tena gear za kijinga..... japo naongea hivi niliyo nayo ni ya alfu 80 tu lakini si haba inazo sifa za kuitwa kofia ngumu
  2. Uhakika Bro

    Huyu member Dennis Roberts aliyetangaza kugombea urais wa Tanzania ni mtu wa ajabu sana sio wa kawaida

    Na watu wapate protini, Je unajua kama kulingana na UN ulaji wa wadudu unafaa sana kwa kutosheleza mahitaji ya protini huku tukihifadhi mazingira https://sahili.net/wp/uncategorized/jinsi-ya-kufuga-panzi-parare-kibiashara/
  3. Uhakika Bro

    KIWANJA KINAUZWA

    Mi natafuta maeneo huko huko boma lakini range ya bei itabidi tuondoe sifuri moja kwanza halafu ndio tukae kudiscuss
  4. Uhakika Bro

    Msaada funguo ya pikipiki imegoma kuwasha wala kutoa sterring lock

    Ilitokaje, naona ukijaribu kufungua huku unaivaibretisha steering itafunguka. Si nayo inataka ukandamize ufunguo chini?. Uzi wa miaka ila sie tunatambaa nao tu
  5. Uhakika Bro

    Usijiroge kununua gari isiyo brand ya Toyota kama unaishi mikoani, maji utayaita Mma !

    Uoga wa vitu vizuri mimi sitakubali. Hayo ma Ford ma Mazda mi ntayamiliki tu kama kawaida hivi kweli tuache vitu vizuri kwa uoga wa matumizi ya matengenezo. Kwanza sasa hivi wasomi wa digrii wanaenda veta so tutapata mafundi wengi tu wanaojua shule na magari
  6. Uhakika Bro

    Fursa za biashara mtandaoni kwa wajasirimali vijana

    Kwa wale wajasiriamali na watabibu wa asili jukwaa linalowafaa limejipambanua katika jarida hili
  7. Uhakika Bro

    Sifa na Jinsi ya kujiunga na Duka la Posta Mtandao

    Naomba mwenye experience ya kutumia duka hili ipoje?
  8. Uhakika Bro

    Ni kitu gani hiki?

    Hata mi nimejiuliza.... Hicho kitu ni kitu gani????!
  9. Uhakika Bro

    Nikiwa Rais mchanganuo wa balanced budget utakavyokua hivi na hii ni kama sample tu

    Hivi kwani sasa hivi tafiti za dawa wametenga hela ngapi?
  10. Uhakika Bro

    Leo ninajadili na maRasta: Je? Ulaji wa wadudu kama panzi, senene na mchwa ni sehemu ya ital?

    Mistari mingine imeruhusu kula aina mbalimbali za vyakula pia
Back
Top Bottom