Recent content by Uhakika Bro

  1. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Hakika sijutii kununua pikipiki aina ya boxer 150(bm150)

    Tangu helment yangu ya kwanza ya alfu 15 ikatike mkanda bila purukushani yoyote sinunui tena gear za kijinga..... japo naongea hivi niliyo nayo ni ya alfu 80 tu lakini si haba inazo sifa za kuitwa kofia ngumu
  2. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Huyu member Dennis Roberts aliyetangaza kugombea urais wa Tanzania ni mtu wa ajabu sana sio wa kawaida

    Na watu wapate protini, Je unajua kama kulingana na UN ulaji wa wadudu unafaa sana kwa kutosheleza mahitaji ya protini huku tukihifadhi mazingira https://sahili.net/wp/uncategorized/jinsi-ya-kufuga-panzi-parare-kibiashara/
  3. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania KIWANJA KINAUZWA

    Mi natafuta maeneo huko huko boma lakini range ya bei itabidi tuondoe sifuri moja kwanza halafu ndio tukae kudiscuss
  4. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Msaada funguo ya pikipiki imegoma kuwasha wala kutoa sterring lock

    Ilitokaje, naona ukijaribu kufungua huku unaivaibretisha steering itafunguka. Si nayo inataka ukandamize ufunguo chini?. Uzi wa miaka ila sie tunatambaa nao tu
  5. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Usijiroge kununua gari isiyo brand ya Toyota kama unaishi mikoani, maji utayaita Mma !

    Uoga wa vitu vizuri mimi sitakubali. Hayo ma Ford ma Mazda mi ntayamiliki tu kama kawaida hivi kweli tuache vitu vizuri kwa uoga wa matumizi ya matengenezo. Kwanza sasa hivi wasomi wa digrii wanaenda veta so tutapata mafundi wengi tu wanaojua shule na magari
  6. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Fursa za biashara mtandaoni kwa wajasirimali vijana

    Kwa wale wajasiriamali na watabibu wa asili jukwaa linalowafaa limejipambanua katika jarida hili
  7. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Sifa na Jinsi ya kujiunga na Duka la Posta Mtandao

    Naomba mwenye experience ya kutumia duka hili ipoje?
  8. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani hiki?

    Hata mi nimejiuliza.... Hicho kitu ni kitu gani????!
  9. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais mchanganuo wa balanced budget utakavyokua hivi na hii ni kama sample tu

    Hivi kwani sasa hivi tafiti za dawa wametenga hela ngapi?
  10. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Huruma si malezi. Na mapenzi yasiyo na tija, ni sumu ya polepole

    Love and logic
  11. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Leo ninajadili na maRasta: Je? Ulaji wa wadudu kama panzi, senene na mchwa ni sehemu ya ital?

    Mistari mingine imeruhusu kula aina mbalimbali za vyakula pia
  12. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Usiuze amali (assets) kabla ya kuwa na mpango mahsusi

    Siuzi! siuzi bro nnanunua
Back
Top Bottom