Recent content by Uhakika Bro

  1. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Msaada Tank gani ni Bora, maana ugonjwa wa matank kuvuja ni Too much

    Plastiki wanaisema kuwa ni forever chemical, sasa iweje tena matanki yake yasidumu???? Ivi tuko siriazi. TBS? Na ni kweli matenki ni mabovumabovu ndio maana kazi ya kuziba matenki ni biashara maarufu tu kwa nn?
  2. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Masikini wote, Mkishindwa Sana zaeni mtoto mmoja Huku mkiangalia uchumi wenu..Mnakera Sana

    Nenda ukafanye case study jifunze Japan, Italy na nchi kibao tu za ulaya. Kwa asia nenda korea kusini. Utagundua kuwa ni tatizo gumu zaidi kudili na idadi ndogo kuliko kudili na idadi kubwa ya watu: fact
  3. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Stupid UN, badala ya kujadili ukosefu wa demokrasia, mauaji, udikiteita wa African presidents mnajadili ramani ya dunia! Shame upon you

    Kujadili ramani hakuondoi uwezo wala nafasi ya kujadili mauaji. Cha msingi tu ukweli na haki za msingi zisiachwe. Huwezi ambia mtu asiye na nguo eti asipambanie kununua shati ajikite na suruali tu! Wakati chochote hakiatgiri uwezo wa kutafuta kingine iwe ni shati, suruali, vesti hadi ch**pi...
  4. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Je Wizara ya Elimu imekosa Meno kuhusu Kasumba ya Madarasa ya Mitihani?

    Kupumzika muhimu ili akili iwe sharp, ona paka na simba wanapumzika wanalala sana ili wawe shapu kwenye uwindaji, lakini mbuzi na nyumbu kulala sio sana kila muda wanakimbiakimbia tu. Kumbukumbu na kuziweka sawa akili inakuja muda ambao umeipumzisha
  5. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Hakika sijutii kununua pikipiki aina ya boxer 150(bm150)

    Tangu helment yangu ya kwanza ya alfu 15 ikatike mkanda bila purukushani yoyote sinunui tena gear za kijinga..... japo naongea hivi niliyo nayo ni ya alfu 80 tu lakini si haba inazo sifa za kuitwa kofia ngumu
  6. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Huyu member Dennis Roberts aliyetangaza kugombea urais wa Tanzania ni mtu wa ajabu sana sio wa kawaida

    Na watu wapate protini, Je unajua kama kulingana na UN ulaji wa wadudu unafaa sana kwa kutosheleza mahitaji ya protini huku tukihifadhi mazingira https://sahili.net/wp/uncategorized/jinsi-ya-kufuga-panzi-parare-kibiashara/
  7. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania KIWANJA KINAUZWA

    Mi natafuta maeneo huko huko boma lakini range ya bei itabidi tuondoe sifuri moja kwanza halafu ndio tukae kudiscuss
  8. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Msaada funguo ya pikipiki imegoma kuwasha wala kutoa sterring lock

    Ilitokaje, naona ukijaribu kufungua huku unaivaibretisha steering itafunguka. Si nayo inataka ukandamize ufunguo chini?. Uzi wa miaka ila sie tunatambaa nao tu
  9. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Usijiroge kununua gari isiyo brand ya Toyota kama unaishi mikoani, maji utayaita Mma !

    Uoga wa vitu vizuri mimi sitakubali. Hayo ma Ford ma Mazda mi ntayamiliki tu kama kawaida hivi kweli tuache vitu vizuri kwa uoga wa matumizi ya matengenezo. Kwanza sasa hivi wasomi wa digrii wanaenda veta so tutapata mafundi wengi tu wanaojua shule na magari
  10. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Fursa za biashara mtandaoni kwa wajasirimali vijana

    Kwa wale wajasiriamali na watabibu wa asili jukwaa linalowafaa limejipambanua katika jarida hili
  11. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Sifa na Jinsi ya kujiunga na Duka la Posta Mtandao

    Naomba mwenye experience ya kutumia duka hili ipoje?
  12. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani hiki?

    Hata mi nimejiuliza.... Hicho kitu ni kitu gani????!
Back
Top Bottom