Tangu helment yangu ya kwanza ya alfu 15 ikatike mkanda bila purukushani yoyote sinunui tena gear za kijinga..... japo naongea hivi niliyo nayo ni ya alfu 80 tu lakini si haba inazo sifa za kuitwa kofia ngumu
Na watu wapate protini, Je unajua kama kulingana na UN ulaji wa wadudu unafaa sana kwa kutosheleza mahitaji ya protini huku tukihifadhi mazingira
https://sahili.net/wp/uncategorized/jinsi-ya-kufuga-panzi-parare-kibiashara/
Ilitokaje, naona ukijaribu kufungua huku unaivaibretisha steering itafunguka. Si nayo inataka ukandamize ufunguo chini?.
Uzi wa miaka ila sie tunatambaa nao tu
Uoga wa vitu vizuri mimi sitakubali.
Hayo ma Ford ma Mazda mi ntayamiliki tu kama kawaida hivi kweli tuache vitu vizuri kwa uoga wa matumizi ya matengenezo. Kwanza sasa hivi wasomi wa digrii wanaenda veta so tutapata mafundi wengi tu wanaojua shule na magari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.