Kuna uzi nilisema mmarekani hawezi kosa silaha hii hata kidogo, japo huwa ni mzee wa kukana tu kila kitu, akiulizwa hata manati atasema ndio kwanza anataka aanze tafiti za kuunda manati
Maana kama file lilifichwa tumwombee laana alieficha ila kama lilifika meza kuu na wakalisoma na bado wakashipaza shingo basi tuwalaani hao, ila mimi namlaani mzee wa Lupaso hadi kesho ujeuri wake ndio uliofanya tufike hapa japo katikati aligundua akaanza kuunguruma ila alikuwa amechelewa
Nimesoma nikarudia tena, tena nikasoma na nikarudia tena, alafu nikasoma tena alafu nikapiga magoti na kusema Mungu mwenye nguvu ambae una sifa zote na hufananishwi na chochote simama nami usiku na mchana asubuhi hata jioni.
Simama na ukoo wangu, simama na ndugu zangu, simama na watoto wa ndugu...
Unalia nini rafiki, ulishindwa nini kutumia bahati ulioipata kwa mzee sita ukala mema ya nchi taratibu, hivi Kweli Makonda umesahau dagaa na mawese pale Kwembe?, umesahau siku unanishikilia nilipopata ajali ya kuchomwa na mti upendo wako huo uliiupeleka wapi hadi ukawa mtu usiefaaa...
Kwanza Injinia kabla sijakuteua ulikuwa wapi? Nilikuwa Marekani mheshimiwa, kwa hiyo Marekani ndio mlikuwa mnafanya upumbavu huu?
"Alisikika jiwe mkuu wa malaika sasa"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.