wewe jibu hoja acha vitisho, kipi ambacho kimeandikwa kisichokuwa na ukweli, kwani mtu akifadhiliwa akafanya kitu chenye manufaa kwa taifa utakataa kisa kimetokana na ufazili
sasa ni takribani miez 5 tangu huu uhakiki wa watumishi uanze, takwimu zilizopo ni kwamba watumishi wapo lak 5 na kidogo, hii ina maana kwamba katika kila mwez mmoja wanahakikiwa watumishi laki moja tu nchi nzima, serikali tuwaambie tu sisi raia tunaona kwamba hiki ni kisingizio tu cha kuwanyima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.