Recent content by udongo mweusi

  1. U

    Rais Magufuli ameongeza mishahara mara mbili ya Kikwete kwenye sekta muhimu

    Usijisumbue kuzungumzia mishahara watumishi wanajua cha kumfanya uchaguzi huu dawa ya moto ni moto miaka mitano bila bila
  2. U

    Kipimo cha HIV (SD Bioline) kutokusoma hutokea katika hali hizi

    Nimetoka kumuuliza dokta anasema ni vigumu mtu aliyeathirika halafu kipimo kisisome yaani ni mmoja kwa mia
  3. U

    Naomba msaada namna ya kusoma kipimo hiki cha UKIMWI

    Et wakuu mtu akiwa anatumia ARV akipima virusi havionekani
  4. U

    SSRA, PSSSF sasa ruksa kutuibia

    ukiwa na miaka 60 hata upewe milion 200 bado hazikusaidii bora uzipate ukiwa kijana
  5. U

    Mheshimiwa Rais, je umetusahau watumishi wa umma?

    huyu makambako ni bwege kabisa, ngoja nimtafutie tusi
  6. U

    Akaunti za watumishi kutuna mwezi huu, na malimbikizo yote kulipwa??

    innay ebu pendezesha taarifa yako na ka source kidogo tuzidi kufurahi
  7. U

    Ebu tupige hesabu kuhusu uhakiki wa watumishi

    na hizo wiki mbili sidhani kama kitaeleweka
  8. U

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    mahaba yamekupofusha, ndo umeandika nini sasa
  9. U

    Makosa yale yale kwenye elimu-maamuzi ya mtu mmoja

    wewe jibu hoja acha vitisho, kipi ambacho kimeandikwa kisichokuwa na ukweli, kwani mtu akifadhiliwa akafanya kitu chenye manufaa kwa taifa utakataa kisa kimetokana na ufazili
  10. U

    Ebu tupige hesabu kuhusu uhakiki wa watumishi

    hapana awamu hii tuko macho
  11. U

    Ebu tupige hesabu kuhusu uhakiki wa watumishi

    sasa ni takribani miez 5 tangu huu uhakiki wa watumishi uanze, takwimu zilizopo ni kwamba watumishi wapo lak 5 na kidogo, hii ina maana kwamba katika kila mwez mmoja wanahakikiwa watumishi laki moja tu nchi nzima, serikali tuwaambie tu sisi raia tunaona kwamba hiki ni kisingizio tu cha kuwanyima...
Back
Top Bottom