GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Kuna mambo ni siri sio kila mtu anajua, lakini kuna muda inabidi kuongea ukweli Rais Magufuli ameongeza mishahara baadhi ya sekta muhimu mara dufu
Sekta ya Zakayo yule wa biblia ambaye alipanda juu ya mti na baadae aliamua kutubu kwa dhuluma alizowafanyia watu kwa kuwarudishia mara mbili kwa kile alichowapora mambo ni safi, Review zilifanyika kwa umakini leo vijana wanafurahia maisha,Kuna sekta nyingi sana sana
Wanabodi,Kelele ni nyingi lakini kuna sekta mambo ni mazuri sana ,Zipo nyingi sana sana Rais ameongeza mishahara mara dufu na atapita bila kupingwa kwa kishindo
Sekta ya elimu na nyingine mchakato unaendelea kwanza kuwa na database kamili nao wataongezewa tu
Hakuna aliyekamilika ,Watu walioneemeka na utawala wa Magufuli ni wengi sana hasa ongezeko la mshahara kuliko wanaolalamika
Mwezi Julai mwaka huu 2020 Kila mfanyakazi haijalishi sekta gani ameongezewa elfu hamsini yaani 50,000 sio haba,Kwa wenye mishahara mikubwa huwezi ona madhara yake
Kuna sekta watu mishahara imeongezeka mara mbili yaani zaidi ya asilimia hamsini 50% tangu mwaka 2015
Mfano watu waliokuwa wanapokea milioni tano sasa wanapokea milioni kumi
Maboresho mbalimbali yamefanyika kwenye sekta zetu muhimu leo vijana husikii wakiiba pesa tena
Mfano ni sekta ya Zakayo yule wa biblia mambo ni mazuri sana sasa kuliko awali,Vijana Graduate toka shule kwenye sekta ya zakayo sasa wanafurahi sio haba, hata Senior Bosses nao wanafurahia maisha sana
Vijana wa sekta ya zakayo wa biblia mambo safi sasa
Wengi vijana wa sekta hii ya zakayo ni mashuhuda JPM amefanya mambo makubwa tangu mwaka jana
Vijana wa sekta ya Zakayo yule wa biblia njooni hapa muwaeleza CHADEMA jinsi JPM alivyopitisha mishahara
JPM kanyaga Baba mambo tunayaona
Tumetoa tuu hii siri ingawa kwa ethics hairuhusiwi kumjibu Bwana yule anayeongelea Chato, Bwana yule mwambiene akafanye utafiti sekta ya Zakayo wa biblia atajua mishahara imeongezwa kwa kiasi gani
Sekta ya Zakayo yule wa biblia ambaye alipanda juu ya mti na baadae aliamua kutubu kwa dhuluma alizowafanyia watu kwa kuwarudishia mara mbili kwa kile alichowapora mambo ni safi, Review zilifanyika kwa umakini leo vijana wanafurahia maisha,Kuna sekta nyingi sana sana
Wanabodi,Kelele ni nyingi lakini kuna sekta mambo ni mazuri sana ,Zipo nyingi sana sana Rais ameongeza mishahara mara dufu na atapita bila kupingwa kwa kishindo
Sekta ya elimu na nyingine mchakato unaendelea kwanza kuwa na database kamili nao wataongezewa tu
Hakuna aliyekamilika ,Watu walioneemeka na utawala wa Magufuli ni wengi sana hasa ongezeko la mshahara kuliko wanaolalamika
Mwezi Julai mwaka huu 2020 Kila mfanyakazi haijalishi sekta gani ameongezewa elfu hamsini yaani 50,000 sio haba,Kwa wenye mishahara mikubwa huwezi ona madhara yake
Kuna sekta watu mishahara imeongezeka mara mbili yaani zaidi ya asilimia hamsini 50% tangu mwaka 2015
Mfano watu waliokuwa wanapokea milioni tano sasa wanapokea milioni kumi
Maboresho mbalimbali yamefanyika kwenye sekta zetu muhimu leo vijana husikii wakiiba pesa tena
Mfano ni sekta ya Zakayo yule wa biblia mambo ni mazuri sana sasa kuliko awali,Vijana Graduate toka shule kwenye sekta ya zakayo sasa wanafurahi sio haba, hata Senior Bosses nao wanafurahia maisha sana
Vijana wa sekta ya zakayo wa biblia mambo safi sasa
Wengi vijana wa sekta hii ya zakayo ni mashuhuda JPM amefanya mambo makubwa tangu mwaka jana
Vijana wa sekta ya Zakayo yule wa biblia njooni hapa muwaeleza CHADEMA jinsi JPM alivyopitisha mishahara
JPM kanyaga Baba mambo tunayaona
Tumetoa tuu hii siri ingawa kwa ethics hairuhusiwi kumjibu Bwana yule anayeongelea Chato, Bwana yule mwambiene akafanye utafiti sekta ya Zakayo wa biblia atajua mishahara imeongezwa kwa kiasi gani