Hata kwa upande wa ardhi ipo hivyo. Mtanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar lakini Mzanzibari anaruhusiwa kumiliki ardhi Tanganyika.
Huu Muungano inabidi "ukapimwe mkojo" haraka sana![emoji16][emoji23]
Kwa hiyo Msemaji wa Ikulu hajui cheo cha Dkt. Albina Chuwa? Hili ni jambo la kushangaza kidogo!
Hakuna Dkt. Albina Chuwa anbae ni Mtakwimu Mkuu wa Serikali nchini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.