Recent content by Ubwabwa Mtamu

  1. U

    NATO ndio dola ya mwisho, hakuna nyingine itakayoinuka

    Hiyo dola haijaanguka , ndio mnyama wa NNE na anatawala mpaka sasa.Kasome vizuri biblia Wanyama ni hawa: 1. Babylon 2. Wamed na waajemi 3. Wayunani 4. Warumi Now tupo mnyama wa nne , anakaribia mwisho kisha watakatifu wa Mungu watakuja kuuchukua ufalme
  2. U

    Video: Hivi hawa wadada, Unique Sisters wapo wapi?

    Hawa wadada Walikuwa hawana mpinzani kwa sauti
  3. U

    Rais Samia huenda akatawala kwa muda mrefu kama Nyerere

    Kama unataka Jambo hilo litimie jitahidi kusali kwa ajili yake maana picha iliyoonekana katika ulimwengu wa roho ni kuwa awamu yake hamalizi.Omba Mungu yasijirudie ya March 17
  4. U

    Mashindano ya Drafti kitaifa

    Me mtaalamu sana wa Draft , naogopwa na kila mtu
  5. U

    Castrol Ponella atoka jela

    Karibu kitaa mchizi wangu Castro
  6. U

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mkuu naomba nyimbo za Fanuel Sedekia
Back
Top Bottom