Hiyo dola haijaanguka , ndio mnyama wa NNE na anatawala mpaka sasa.Kasome vizuri biblia
Wanyama ni hawa:
1. Babylon
2. Wamed na waajemi
3. Wayunani
4. Warumi
Now tupo mnyama wa nne , anakaribia mwisho kisha watakatifu wa Mungu watakuja kuuchukua ufalme
Kama unataka Jambo hilo litimie jitahidi kusali kwa ajili yake maana picha iliyoonekana katika ulimwengu wa roho ni kuwa awamu yake hamalizi.Omba Mungu yasijirudie ya March 17
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.