mitazamo hutofautiana lakini utofauti huo ndio maendeleeo yaweza kuwa ni kwenda mbele au kurudi nyuma lakini hili la leo tunasonga mbele hivyo ni jambo la heri ingawa bado maboresho ya nyumba za wauguzi na mishahara pia hatua kwa hatua tutafika
Vita hii naona tofauti na maeneo mengine hususan nchi za nje sisi tunawasaka kwa taaa na vipaza sauti wenzetu wana deal nao kimyakimya anatafutwa chidi, anaeleza anapo nunua,wapi hadi mwishowe anapatikana PAPA wausambazaji nchini lakini sisi M! na ikiwezekana tuna adapt Formular ya Rodrigo...
Watanzania ni watu wakujishuku wakati wote mtu mwenye hulka hiyo atende/asitende yeye huwa na kiwewe hivyo watanzania tutawatuhumu Wakenya lakini sisi ni malofa na hili alisema Rais mstaafu Benjamin Mkapa
kwa upande wa Wakenya
sisi waafrika kukubali kwamba tumeshindwa ni ngumu sana hutafuta...
hili halina upande wanasiasa wote wamekuwa na hulka hiyo hii ni kutokana uelewa wao kuwa mdogo lakini pia ikumbukwe kwamba inapotokea zaidi ya watu watano wote wakiwa na nafasi sawa au kuwa na tabia moja hata wakiwa wasomi huwa na matukio ambayo kwa kawaida huwezi kuamini kakma yanaweza kutendwa...
lakini Bi Tambajang kikatiba hana sifa ya kuwa makamu wa Rais kwasababu umri wake umezidi miaka 65 ambapo kwamjibu wa katiba ya nchi hiyo kifungu 62 Ibara ndogo ya 1 (b) inaeleza kwamba nafasi hiyo inapaswa kushikwa na mtu alsiye zidi umri wa miaka 65 ambapo yeye(Tambajang) hivi sasa abamika 68
hofu ya njaa ipo kwa kila raia nchini hususani maeneo ambayo mvua hainyeshi serikali ijipange kukabiri njaa ya mwisho wa mwaka huu hali itakuwa tete sana
Naomba kutofautishiwa kati ya na hiyo shabu maana kunasiku nilipewa dawa ya jino nikaambiwa ni shabu lakini Ufilipino inapigwa marufuku yamkini ni Sembe hapa nazidi kuchanga .............. na ukiwa kama hawa dadaz wanatumia kujirejesha .........loading
methamphetamine
Guntanamo Gereza liko Cuba,limejengwa na Mmarekani chini ya utawala wa Bush katika mwambao wa kusi/mashariki lengo kuu ni kuwafunga wahalifu wa ugaidi lakini kutokana na mateso yaliyokwenye gereza hilo Mashirika ua kutetea haki za binadamnu yalilipigia kelele lifungwe, Obama akaahidi kulifunga...
mandela alisema nimejifunza kwamba shujaa sio yule asiye na hofu bali ni kuishinda hofu Mexence Melo unayo safari ndefu ya mapambano lakini lazima uamini kwamba wanadamu ni vigeugeu, unapoinza safari wanakutia moyo lakini inapofika wakati wa mafanikio wanainua vikwazo be strong
huenda kwakuwa mwandishi na mtunzi Henrik Johan Ibsen alizaliwa mwaka 1828 hivyo huenda aliyaona hayo hususan Afrika ambayo imepokea dini miaka ya 1870 na kuendelea hivyo inawezekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.