Wanajamii wenzangu,mimi sikushangaa kumuona mh.rais anampa makavu makonda,kila siku tunasema viongozi wengi serikarini hawana ubunifu,hayo ndio matokeo yake.suala la kutafuta mashine ya kunyonya maji hadi aje raisi akwambie kweli????.wao wanachokijua kila siku ni mipango mikakati tuuuu,saa hizi...