Recent content by Tzmzalendo og

  1. T

    Naingia kwenye kufuga kuku chotara (Saso)

    Sawa mkuu tunasubiri hiyo feedback
  2. T

    Naingia kwenye kufuga kuku chotara (Saso)

    Itakuwa walipoteza smartphone zao, But hope mambo yalienda vzr japo ufugaji una challenges nyingi
  3. T

    Aibu: Tanzania yashika Mkia Elimu ya Juu Afrika Mashariki. Ili Kufuta Aibu Serikali yatenga Bil.972 kuongeza Udahili

    Kwa mwenye uwezo wa kutafuta idadi ya university dropout mwaka huu atuwekee mkeka, mikopo ya elimu ya juu 2021 haina tija, 90%+ hawakupewa pesa ya field study na research, no special faculty, no books and stationery, ada kiduchu halafu mnawaza kiwango cha elimu kipande (ubora) wakati wanafunzi...
  4. T

    Suphian agombea CCM-Taifa, atia msumari suala la Ngorongoro, waraka wa Rais Samia

    Kenge anakimbia mvua huku akikimbilia mtoni 😂😂😂
  5. T

    Bei na masoko ya Garnets na Tourmaline Tanzania

    Ilitokea tuu mtu alikuw alipata chimbo, akanishilikisha , tumeyapata ya kutosha but sikuw nishafanya research ya soko as imekuw kama zali tuu
  6. T

    Bei na masoko ya Garnets na Tourmaline Tanzania

    Shukran ndugu yangu 🙏🏾 Kwa kunialoccate
  7. T

    Bei na masoko ya Garnets na Tourmaline Tanzania

    Habarin wana JF, naombeni wenye uealewa na soko la garnets na tourmaline kwa sasa 2022, dealers wazur na mengineyo anisaidie. Pia mm ndo first time nimeupata huu mzgo chimbo na nimeuchimba mwenyew, n mzgo wa ukwel? From the picture
  8. T

    Bei na masoko ya Garnets na Tourmaline Tanzania

    Habarin wana JF, naombeni wenye uealewa na soko la garnets na tourmaline kwa sasa 2022, dealers wazur na mengineyo anisaidie. Pia mm ndo first time nimeupata huu mzgo chimbo na nimeuchimba mwenyew, n mzgo wa ukwel? From the picture
  9. T

    Tamko la Marekani baada ya kesi ya Freeman Mbowe kufutwa

    Kwel, na awalaani nyani weusi wote 😂
  10. T

    Watanzania walioko Ukraine watakiwa kurudi Tanzania

    Vip ameidunda au ndo anasema hatak kupoteza wanajesh wake😂😂
  11. T

    Msikilize mgombea Uspika wa Mchongo akiomba kura. Ashindwa kujibu swali la Esther Bulaya

    Tayali kashakuchukua kitambo, huon akili yako ilivyotawaliwa😂😂
  12. T

    Sugu: Walevi wasusie kunywa Bia kwa siku kadhaa na ikibidi wanywe pombe za kienyeji ili serikali ikose mapato kama hasira za kudai Katiba mpya

    Tatzo Nyumbu wanatengeneza maadui kila kona, mm kama mlevi tayar kashanikosa kuwa mfuasi wa😆
Back
Top Bottom